Mawasiliano ya WhatsApp ni encrypted baina ya watumiaji wawili. Kama watu wanakamatwa kwa "uchochezi, etc dhidi ya Magufuli:
Anatumia intelligence officers kuspy wananchi katika WhatsApp group.
Cha kusikitisha, atapigiwa makofi na wananchi.
I never regretted leaving Bongo.
Mkuu upo nchi gani?Oman?
weka fursa hapa wananchi wengine waje huko
hii nchi ishaharibika
Nipo Tokyo, Japan. Nimeshapazoea. Leo asubuhi tulikuwa na mtetemeko wa ardhi mkubwa kuliko kawaida (6.4) lakini maisha yanaendelea na hamna damage yoyote.
Isingekuwa issue ya demokrasia, ningeishi UAE au Oman. Huko pia ni nyumbani.
Boss, ni vigumu kubadilisha fikra za binadamu. CCM ni ile ile. Viongozi wamebadilisha nguo za Mao na kuvaa suti za Muiingereza kwa shingo upande.
Upinzani ni wale wale. Nch nyingi kiongozi wa upinzani lazima ajiuzulu kama akishindwa katika uchaguzi. Sisi sura ni zile zile. Hamna damu mpya na sitemegei watachukua uongozi miaka ya karibuni. Na hata wakija wepya, CCM inawakaba koo na kuiba kura ili waongoze wao tu.
Mimi nimefunga mikoba yangu na sijaangalia nyuma tena.
I lost hope.
Pole....Africa inakatisha tamaa
Japan fursa vipi?
UAE nilifikiri angalau kuna freedom kidogo kwa shuguli za kiuchumi?
Watanzania wako wengi Japan?
Ha ha ha. Yaani ulivyo limbukeni umeamua kututangazia kuwa uko nje ya nchi. Duh, basi kaa huko huko. Hakuna mtu ana time na wewe....
I never regretted leaving Bongo.