MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,749
- 48,347
Nimeona hii picha ya katuni/kibonzo nikacheka sana, hivi huyu Mtanzania Gado siku atarudi kwao Bongo lazima yatamkuta, yeye aendelee kuchora chora viongozi wa kwetu Kenya maana atavumiliwa, lakini kwa kuanza kufuata viongozi wa Bongo, sijui huko demokrasia iko vipi.