Gadna G Habash kurudi tena kusikika redioni

Ilikuwa ni vigumu kusema kulikuwa kuna mgongano clouds.
Swala la Times Fm kuchukua watangazaji clouds si kosa kwani ni swala la biashara na kupanda dau tu!

Kwani hao Times wana ugomvi na Clouds hadi kuwachukulia wafanyakazi wake kwa kasi ya ajabu hivyo? Halafu huyu Gadna si alisema kuwa anapumzika ili aiimarishe Nyumbani? Kweli duniani wanafiki hawaishi amani! Yaani sikutegemea kabisa kuwa mtu mtaarabu kama Captain angeweza kufanya mambo ya kipwani kama haya.
 
Nafikiri maisha ya utangazaji anayapenda zaidi, na ameona bora kwenda Times Fm kuliko kurudi Clauds Fm kwenye Jahazi kwa sababu kuu tatu

1/Jahazi la Clauds Fm limepoteza mwelekeo(Limekuwa kama idara ya propaganda za magamba na Serikali ya JK)

2/Uwepo wa watangaziji wengi kwenye kipindi cha jahazi, kwa sasa lina Ephraim Kibonde, Anold Kayanda na Wasiwasi Mwabulambo.

3/Malipo duni ya Clauds Fm
 
Nafikiri maisha ya utangazaji anayapenda zaidi, na ameona bora kwenda Times Fm kuliko kurudi Clauds Fm kwenye Jahazi kwa sababu kuu tatu

1/Jahazi la Clauds Fm limepoteza mwelekeo(Limekuwa kama idara ya propaganda za magamba na Serikali ya JK)

2/Uwepo wa watangaziji wengi kwenye kipindi cha jahazi, kwa sasa lina Ephraim Kibonde, Anold Kayanda na Wasiwasi Mwabulambo.

3/Malipo duni ya Clauds Fm

Afadhali umekuja mwenyewe na kueleza sababu za kutorudi tena Clouds. Naona watu walishaanza kutoa 'assumptions' zao hapa.
 
Nafikiri ni vizuri na watangazaji wengi wamebadilika wameshtuka vipaji vyao vinatumika bure kwa malipo madogo sana.njia nzuri siku hizi ni kununua airtime kwenye radio ili mgawane faida ukiwa huru zaidi kwenye kipindi.

Clouds ni pazuri kutengeneza jina ukiwa unaanza lakini after sometimes unakwenda penye maslahi kwa kutegemea kipaji chako.Kuna watangazaji nje ya Clouds wanakoandaliwa kila kitu hawawezi kutamba na hao ndio wanaogopa kutoka nje ya Clouds.

Gadner ni mtangazaji mzuri na naamini atafanya vizuri tu,mbona akina Ahmed Kipozi,Liongo,Masoud Masoud,John Dilinga n.k wamekimbiza kama kawa hadi radio uhuru iliyokuwa haina hata generator na vifaa duni kipindi hicho na sisi bila kujali itikadi za vyama vyetu tulikuwa tunawasikiliza.Kipaji ni kipaji tu lazima aoneshe alikuwa habebwi na jina la Radio!
 
mambo ya mimba ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu sio suala la kumkashifu mtu, hujafa hujaumbika sidhani kama wana furahia kukosa mtoto ni Mungu tu ndiye mwenye maamuzi kuhusu hilo. Tusimkufuru Mungu jamani

Sikujua kwamba ukisema mimba imetoka ni kumkufuru mungu....NISAMEHE GADNER
 
Kwani hao Times wana ugomvi na Clouds hadi kuwachukulia wafanyakazi wake kwa kasi ya ajabu hivyo? Halafu huyu Gadna si alisema kuwa anapumzika ili aiimarishe Nyumbani? Kweli duniani wanafiki hawaishi amani! Yaani sikutegemea kabisa kuwa mtu mtaarabu kama Captain angeweza kufanya mambo ya kipwani kama haya.

Unafiki wake ni upi?
Kuacha kazi Clouds FM au kuanza kazi Times FM?

Kila mtu ana taratibu na mipango yake katika maisha, kama aliamua kupumzika na sasa ameona arudie kipaji chake sio mbaya!
Sema nahis aliacha Clouds FM kwa kutokua na maelewano mazuri na Maboss wake
 
Hawa akina Kipanya,Fina?Njogopa, Tayna na Bandago wanafanya vipindi gani?

Masoud ana kipindi chao asubuhi jina silikumbuki, ila kinaanza saa 12 asubuhu mpaka saa 3 asubuhi.

Tayana na Bandago wana kipindi cha muziki wa bongo flava, huanza saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku.

Njogopa mzee wa taarifa ya habari
 
We Radhia kuna ustaarabu zaidi ya aliofanya? hakutaka kuondoka vibaya ila aliboreka mim binafsi nililiona hilo! kibonde alifanya juu chini kumuoutshine ilhal alimkuta! ni vizuri tu alimpisha. . swali unadhani angekaa tu ivo kumridhisha nani? anahitaji maisha yaendelee. . bigup G maisha popote kazi zina mambo sana siri ya mtungi aijuaye kata. .
 
yaelekea uondokaji wake times sio kama alivyotuambia kulikuwa na kitu nyuma ya pazia, otherwise haya ni maisha yake binafsi yetu sie ni macho tu!
 
atakuwa keshabwaga na mkewe................au wamekiuka masharti senti zimetembea..........
 
bora arudi kwenye JAHAZI...
jamani siwapendi hawa wauza pumba wa sasa hivi...KIBONDE na wenzake...puuuuuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom