Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Qaddafi alimwamini Amin Dada cz at tht tym walihitajika viongozi wa aina ile! Alikuwa m2 thabiti kutetea haki na rasilimali za mwafrika hakuogopa ngozi nyeupe kama walivyo viongozi wetu wote wa Africa ambao hawana msaada wowote! limebaki jembe1 nalo ni Mugabe
Upuuzi mtu, kwa nini hao mnaowaita majembe ni wale wenye tamaa za kutawala milele? Nyie vipi bana?