Gaddafi alikuwa na utajiri wa Sh 140 trilioni

NI SAWA NA BAJETI YA TANZANIA KWA MIAKA 12Waandishi WetuKIONGOZI wa Libya aliyeuawa juzi na wapiganaji wa Serikali ya Mpito (NTC), anadaiwa kuacha utajiri wa Sh 139 trioni kiasi ambacho ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa miaka 12. Habari zilizopatikana jana zimeeleza kuwa fedha hizo ni zile zinazofahamika, alizoweka kwenye benki za nchi kadhaa duniani, huenda alikuwa na hazina zaidi mbali na hiyo.source: GAzeti la mwananchi la leo Jumpili

Mkuu, Huo ni utajiri wa Libya nchi za nje au ni utajiri wa Gaddafi? Maana Serikali ya Libya Ilikuwa imewekeza ktk nchi mbalimbali haswa hapa Africa na hizo investment zilizuiliwa mara tu vita ilipoanza na ilitangazwa kuwa ni mali za Libya sio Gaddafi au hii ni habari mpya?
 
na wezi wetu je?/wakwetu na migodi, iptl, dowans/richmond, miradi hewa, tax exemption, radar, helicopter za jeshi
 

It is important to recognize that Libya's reserves of oil are the creation of GOD and they were there before Gaddafi came to power. It is also true that Libya is a desert country, a part of the vast Sahara. It is therefore very sparcely populated.

Credit must however be given to Gaddafi that in trying to exploit these God-given natural resources, Gaddafi did not pander to "WAWEKEZAJI" like his counterparts in Tanzania by bending backwards and giving them large shareholding in the companies processing the oil. He looked for capital and technology initially, and repaid the loans early; after which he continued to exploit these resources by use of the surpluses generated.

As oil demand in the world market continued to rise, Gaddafi built up huge reserves of foreign exchange and then proceeded to build infrastructures to improve the living conditions of his people: including free health services, housing, education at all levels etc. as enumerated by J.F. Member Martin David. Noting that Libya's problem is partly caused by its small population, he introduced subsidy to families to increase Libyan babies.

However, in carrying out these fuctions he ensured he was surrounded by yes men and women, and worst of all he eliminated all opposition. Because the sycophants woul not correct him, he started to allocate to himself dispropotionate shares of the state funds. He knew that it was unethical to carve out for himself such large shares and so he kept them in secret bank accounts abroad. So Gaddafi erred by not allowing democratic forces to impact on his country's policies and administration.

Gaddafi is now good riddence and patriotic Africans should wish that his successors prevail on his secret bankers to return his loot for the enjoyment of Libyans; and also adopt a democratic system to guide their future.
 
Ndugu MartinDavid hoja yako hapo nchi ina pongeza wizi wa Gaddafi kwa kidogo alichotoa kwa walibya na kupora maliasi zao bila ruhusa yao
Gadhafi and Libya
1.There was no electricity bill in Libya; electricity was free for all its citizens
Huo ni utajiri wa libya sio wa Gaddafi haya ni mambo yanayotokeaby default kama wewe unavyoweza kula milo miwili au mitatu lakini kama umeficha au kupora sehemu ya kipato cha jumuiya kwa kuwadanganyia vitu sio sahihi,

2. There was no interest on loans, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law
hiyo ni sehemu ya sheria za kiislamu hakuna interest kwenye loan

3. Home considered a human right in Libya –Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi's father has died while him, ...his wife and his mother are still living in a tent
aina gani ya tent hayo matent wanayoongelea yana ghalama kubwa kuliko unavyofikilia hayakuwa matent ya kawaida, lakini pia umeona kwenye media nyumba zilizo jaa dhahabu kila sehemu alizokuwa anatumia Gaddafi na wana familia wake, google picha ziko kibao ukishindwa niambie nitakuwekea hapa picha ya nyumba ya mlibya wa kawaida na mwana familia wa Gaddafi
In fact mtoto moja wa Gaddafi alikuwa anatumia $1milion kwa mwezi (Tsh 1billion)


4. All newly weds in Libya receive $60,000 Dinar (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family
5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%
6. Should Libyans want to take up farming career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms –all for free
7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to go abroad for it – not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance
8. In Libya, if a Libyan buys a car, the government subsidized 50% of the price
9. The price of petrol in Libya is $0.14 (N22) per litre
Kama haya ndio maisha ya walibya kama unavyosema na yanapatika kama sio record za kwenye vitabu tu,
kwa nini walibya wanapiga BOX ughaibuni? nawafahamu walibya wanafanya kazi za ulinzi masaa ya kufa mtu na wanatuma hela kwao kusaidia nguvu zao hapo imekaa je? ni kweli hayo unayosema yanapatikana au umeongea tu.
nina rafiki yangu mlibya nilipomueleza huu ufafanuzi wako kwa kifupi alinijibu kwa kusema ''huyo mtu ana laana na ni wa kuhurumia kama anauchungu na Gaddafi angeenda kuwa mwanajeshi mamluki kama wengine walivyofanya''


10. Libya has no external debt and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally
11. If a Libyan is unable to get employment after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
12. A portion of Libyan oil sale is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens
13. A mother who gave birth to a child receive US$5,000
14. Gaddafi carried out the world's largest irrigation project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country
Hizo frozen ni mali za Gaddafi sio state kafanye uchunguzi, Gaddafi alikuwa amefanya mali za libya kama zake ili kuwa ngumu kujua kipi ni cha serikali na kipi cha Gaddafi ila vingi alikuwa amejimilikisha kwa kutumia makapuni aliyoyatengeneza yeye na familia yake
So What's the Problem with Libyans?

Huna haki ya kuuliza ili swali,
kama Gaddafi alikuwa anafanya mema kwa ajili ya walibya kwa manufaa ya libya walipomwambia kutoka angenyatuka tu, alitaka kufia hapo kuficha nini? halikuwa ana miliki hiyo nchi?
 
You said it all on the RED all true na hilo ndilo tatizo la libya sio hay mazuri aliyofanya ila mabaya aliyowafanyia walibya in fact this guy got Greed

It is important to recognize that Libya's reserves of oil are the creation of GOD and they were there before Gaddafi came to power. It is also true that Libya is a desert country, a part of the vast Sahara. It is therefore very sparcely populated.

Credit must however be given to Gaddafi that in trying to exploit these God-given natural resources, Gaddafi did not pander to "WAWEKEZAJI" like his counterparts in Tanzania by bending backwards and giving them large shareholding in the companies processing the oil. He looked for capital and technology initially, and repaid the loans early; after which he continued to exploit these resources by use of the surpluses generated.

As oil demand in the world market continued to rise, Gaddafi built up huge reserves of foreign exchange and then proceeded to build infrastructures to improve the living conditions of his people: including free health services, housing, education at all levels etc. as enumerated by Mdondoaji. Noting that Libya's problem is partly caused by its small population, he introduced subsidy to families to increase Libyan babies.

However, in carrying out these fuctions he ensured he was surrounded by yes men and women, and worst of all he eliminated all opposition. Because the sycophants woul not correct him, he started to allocate to himself dispropotionate shares of the state funds. He knew that it was unethical to carve for himself such large shares and so he kept them in secret bank accounts abroad.
 
Vikwazo,
Wewe ndio fanya uchunguzi sisi tumeisha fanya!
Fedha hizo hazipo ktk account yenye jina la Ghadaffi au watoto wake ila ni kwa jina la Jumhuri wa wananchi wa Libya...Ni fedha ya walibya hizi nchi za magharibi wanataka kuzichukua na kuwa na haki ya kuzifanyia maamuzi.. Hawana hela sasa wanatafuta kila mbinu kuwa na haki nazo wakisema za Ghadaffi wanaweza kupitisha maazimio wao.
 
Mkuu, Huo ni utajiri wa Libya nchi za nje au ni utajiri wa Gaddafi? Maana Serikali ya Libya Ilikuwa imewekeza ktk nchi mbalimbali haswa hapa Africa na hizo investment zilizuiliwa mara tu vita ilipoanza na ilitangazwa kuwa ni mali za Libya sio Gaddafi au hii ni habari mpya?

Ni wewe tena nilikupa link toka jana kuonyesha kwamba hizo ni pesa za gaddafi na alikuwa wanatumia njia za panya kuwekeza nje ya nchi yake hasa nchi za ulaya kwa afrika aliwanunua viongozi wetu ili kuwekeza
narudia tena tafuta ukweli la ili jambo kwanza na liko wazi it was money laundering Gaddafi used even to invest in USA na leave USA administration with big question how did he manager to do that.
nimekuwekea hapo nchi moja ya link ziko zaidi ya mia
TYPE ..... GADDAFI MONEY kwenye google utapata majibu

Gaddafi secretly transfers £3bn to Mayfair-based fund as European leaders say 'brutality and intimidation will not be tolerated'



As rebels began their uprising in eastern Libya last week, a Swiss intermediary working for the dictator brokered a deal to transfer the funds from the oil-rich nation.Colonel Gaddafi secretly deposited £3bn with a London-based private wealth manager, it emerged today.
But a similar attempt five weeks ago was rebuffed when senior staff at a separate City stockbroking firm learned of the source of the money, The Times reported.


Read more: Gaddafi's £3bn British transfer as European leaders 'won't tolerate brutality' | Mail Online
 
Vikwazo,
Wewe ndio fanya uchunguzi sisi tumeisha fanya!
Fedha hizo hazipo ktk account yenye jina la Ghadaffi au watoto wake ila ni kwa jina la Jumhuri wa wananchi wa Libya...Ni fedha ya walibya hizi nchi za magharibi wanataka kuzichukua na kuwa na haki ya kuzifanyia maamuzi.. Hawana hela sasa wanatafuta kila mbinu kuwa na haki nazo wakisema za Ghadaffi wanaweza kupitisha maazimio wao.

IT WAS MONEY LAUNDERING MKUU FANYA UTAFITI KWANZA
angalia hiyo hii link ( http://www.hm-treasury.gov.uk/d/public_notice_270211.pdf ) pia soma na sikuza hapo nchi kama husipoelewa video na kusema basi tena

Gadaffi's Stash - Money Laundering - U.S. MegaBanks - Business as Usual

[video=youtube_share;0yyVGdC7RoY]http://youtu.be/0yyVGdC7RoY[/video]

The Hound :What a wonderful country our home has turned into; where we support Dictators for oil. I would have never thought that I would be begging to see some form of cogent justice, but it is very apparent that we are going to fully support a two-tiered society where it is legal to be a criminal, if you have control over someone else's money. We don't need more regulation, when the laws we have are brazenly usurped or altogether egregiously ignored and law enforcement is either bought off or incompetent (probably a little of both).

How Did Gaddafi Bypass US Anti-Money Laundering Rules To Bank With Goldman And JPMorgan?
- Submitted by Tyler Durden - 03/02/2011
One of the most critical questions that has to be asked in light of yesterday's revelation that among the banks providing banking and asset amangement services for Libya were Goldman Sachs, JP Morgan and Citigroup, is just how did Libya get an exemption for anti-money laundering provisions both in Europe and the US.

Oddly enough, this future mainstream debate arises not in the US, where any form of critical thinking appears to be immediately curbed by SEC Rule 201 (for all those calling for a hike in the SEC's budget, we suggest the following contrarian thought experiment: let's cut its budget to zero and see how long before anyone notices) , but out of the UK, where a reader writes in to the FT (oddly enough, partially ownedby the Libyan Investment Authority) with the following very simple question: "It seems to me entirely implausible that Col Gaddafi could have earned billions of dollars through legal means. And yet if the AML procedures, to which we are all subjected, have not been applied rigorously to the likes of Col Gaddafi and his family, one is forced to ask what purpose they really serve." Or what purpose any regulation serves in general when fraud results in surging stock prices, and companies that adhere to the rules are promptly wiped out in this bizarro capitalist world.
From the FT:
Sir, I read with interest the news that the UK government is freezing billions of dollars in assets belonging to Muammer Gaddafi and his family. I would also be intrigued to know whether the banks and other financial institutions handling these assets have applied the same anti-money laundering (AML) procedures to these assets as are applied to every other "normal" banking client in the UK.

I am less interested in whether Col Gaddafi and his family were able to supply passport copies and utility bills but more interested in what evidence they were able to present as to the source of the funds.

It seems to me entirely implausible that Col Gaddafi could have earned billions of dollars through legal means. And yet if the AML procedures, to which we are all subjected, have not been applied rigorously to the likes of Col Gaddafi and his family, one is forced to ask what purpose they really serve.

Charles L.M. Horner,
Bangkok, Thailand


See No Evil: Wall Street Banks and Qaddafi Cash
- Rolling Stone - By Tim Dickinson - March 2, 2011

The Obama administration's move to freeze $30 billion in Libyan assets has sent Wall Street banks scurrying to lock down Qaddafi's cash. Raising the question: How did America's biggest firms become bankers to one of the world's most corrupt men?

Anti-money-laundering statutes are supposed to bar "the movement of illicit cash or cash equivalent proceeds into, out of, or through the United States [or] ... United States financial institutions." And when it comes to Libya, there's no such thing as licit cash: According to a WikiLeaked State Department cable: "Libya is a kleptocracy in which the regime has a direct stake in anything worth buying, selling or owning."

And yet, according to a cable from 2010, top U.S. banks were in bed with Qaddafi's Libyan Investment Authority: "Several American banks," our embassy in Tripoli reported, "are each managing USD 300-500 million of LIA's funds."

Firms reportedly playing banker to Libya's "sovereign wealth fund" include Goldman Sachs, Citigroup, JP Morgan Chase, and several private equity firms.
Banks Financing Mexico Gangs Admitted in Wells Fargo Deal- Bloomberg - June 28, 2010

They found 128 black suitcases, packed with 5.7 tons of cocaine, valued at $100 million. The stash was supposed to have been delivered from Caracas to drug traffickers in Toluca, near Mexico City, Mexican prosecutors later found. Law enforcement officials also discovered something else.

The smugglers had bought the DC-9 with laundered funds they transferred through two of the biggest banks in the U.S.: Wachovia Corp. and Bank of America Corp., Bloomberg Markets magazine reports in its August 2010 issue.

This was no isolated incident. Wachovia, it turns out, had made a habit of helping move money for Mexican drug smugglers. Wells Fargo & Co., which bought Wachovia in 2008, has admitted in court that its unit failed to monitor and report suspected money laundering by narcotics traffickers -- including the cash used to buy four planes that shipped a total of 22 tons of cocaine.

The admission came in an agreement that Charlotte, North Carolina-based Wachovia struck with federal prosecutors in March, and it sheds light on the largely undocumented role of U.S. banks in contributing to the violent drug trade that has convulsed Mexico for the past four years.

JPMorgan's $907 million Madoff bonanza - Posted by Colin Barr - February 28, 2011 -

A new academic paper estimates the bank reaped nearly $1 billion in pretax profits over two-plus decades by servicing a checking account at the center of the giant Ponzi scheme.
 
naamini hadi siku shimbo anakufa, hela yake itakuwa ni bajeti ya tz kwa miaka miwili hivi
 

As oil demand in the world market continued to rise, Gaddafi built up huge reserves of foreign exchange and then proceeded to build infrastructures to improve the living conditions of his people: including free health services, housing, education at all levels etc. as enumerated by J.F. Member Martin David. Noting that Libya's problem is partly caused by its small population, he introduced subsidy to families to increase Libyan babies.

However, in carrying out these fuctions he ensured he was surrounded by yes men and women, and worst of all he eliminated all opposition. Because the sycophants woul not correct him, he started to allocate to himself dispropotionate shares of the state funds. He knew that it was unethical to carve out for himself such large shares and so he kept them in secret bank accounts abroad. So Gaddafi erred by not allowing democratic forces to impact on his country's policies and administration.

Gaddafi is now good riddence and patriotic Africans should wish that his successors prevail on his secret bankers to return his loot for the enjoyment of Libyans; and also adopt a democratic system to guide their future.

Afrika yote ina hizo rasilimali..nchi ipi nyengine au kiongozi yupi amefanya kama hayo aliyofanya Gaddafi?

Kuhusu mageuzi ,Libya walikuwa tayari wameanza contitutional reform ambayo Saif alikuwa ni chachu ya mageuzi.na wana rekodi nzuri ya human rights. Tayari hapa jf imeekwa report ya libya Bofya hapa They found no fault in Qaddafi so the media invented some for us

Kuhusu fedha na akaunti za siri bado hazijaekwa wazi lakini kuna hii challenge. Bofya links

http://www.youtube.com/watch?v=WUnbmmy036g&feature=player_detailpage

http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=MdFh-x6LOZY

http://www.youtube.com/watch?v=YUkNnQE-9B4&feature=player_detailpage

Unakusudia demokrasia au DOMOkrasia. Bofya links

http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=RMXyCqdPPoU

http://www.youtube.com/watch?v=3HdP0OuFumE&feature=player_detailpage
 
Vikwazo,
Maneno ya Kikwete alisema kuwa kama mbayuwayu, ukiambiwa kitu tumia na akili zako wewe mwenyewe... Ghadaff alikuwa banned UK toka miaka ile, Sasa kama anawaibia Walibya awekeze UK kwa sababu gani wakati anajua hawezi kukanyaga? Libya waliwekewa vikwazo vya uchumi na fedha zao kuwa freezed miaka kibao, na majuzi tu baada ya makubaliano na Scotland ndio nchi za magharibi zilianza biashara na Libya, iweje Ghadaffi yule yule aliyekuwa sababu ya Libya kuwekewa vikwazo aendelee kufanya biashara zake..Nchi iwekewe vikwazo lakini sio Ghadaffi afungue hadi account, money laundry nchi zao wasigundue wala wasiseme siku zote hadi leo ndio ushahidi unapatikana ktk vitu vilivyofanyika miaka iliyopita..Imekuwaje rahisi hivyo?

Halafu between April na July mwaka huu US walitangaza ku freeze mali za Libya (Ghadaffi), na madai kama haya yakatokea...Gadaffi alipohojiwa kuhusu tuhuma hizi aliwaambia walete ushahidi, na akasema nawa challenge waonyeshe wazi account ambazo ziko ktk jina lake..hawakufanya na mjadala ukaisha!
Leo hii wewe na akili yako unaamini Ghadaff alikuwa akiuza Cocaine? Hivi afanye money laundry ili iweje wakati yeye ni rais dikteta na anaweza kuwa na cash kiasi chochote anachotaka na asiulizwe na mtu yeyote. Why afanye money laundry wakati yeye mwenyewe ndiye mwenye sheria?. Mtu yeyote anafanya money laundry kukwepa sheria yeye alikuwa nakwepa kitu gani?..

Acheni uchizi, Ghadaffi kisha kufa kaondolewa na Walibya na mali hizi ni za Walibya wenyewe kwa nini mnazitafuta nyie na sii serikali ya Libya?.
 
Vikwazo,
Maneno ya Kikwete alisema kuwa kama mbayuwayu, ukiambiwa kitu tumia na akili zako wewe mwenyewe... Ghadaff alikuwa banned UK toka miaka ile, Sasa kama anawaibia Walibya awekeze UK kwa sababu gani wakati anajua hawezi kukanyaga? Libya waliwekewa vikwazo vya uchumi na fedha zao kuwa freezed miaka kibao, na majuzi tu baada ya makubaliano na Scotland ndio nchi za magharibi zilianza biashara na Libya, iweje Ghadaffi yule yule aliyekuwa sababu ya Libya kuwekewa vikwazo aendelee kufanya biashara zake..Nchi iwekewe vikwazo lakini sio Ghadaffi afungue hadi account, money laundry nchi zao wasigundue wala wasiseme siku zote hadi leo ndio ushahidi unapatikana ktk vitu vilivyofanyika miaka iliyopita..Imekuwaje rahisi hivyo?

Halafu between April na July mwaka huu US walitangaza ku freeze mali za Libya (Ghadaffi), na madai kama haya yakatokea...Gadaffi alipohojiwa kuhusu tuhuma hizi aliwaambia walete ushahidi, na akasema nawa challenge waonyeshe wazi account ambazo ziko ktk jina lake..hawakufanya na mjadala ukaisha!
Leo hii wewe na akili yako unaamini Ghadaff alikuwa akiuza Cocaine? Hivi afanye money laundry ili iweje wakati yeye ni rais dikteta na anaweza kuwa na cash kiasi chochote anachotaka na asiulizwe na mtu yeyote. Why afanye money laundry wakati yeye mwenyewe ndiye mwenye sheria?. Mtu yeyote anafanya money laundry kukwepa sheria yeye alikuwa nakwepa kitu gani?..

Acheni uchizi, Ghadaffi kisha kufa kaondolewa na Walibya na mali hizi ni za Walibya wenyewe kwa nini mnazitafuta nyie na sii serikali ya Libya?.

Hacha kuweka historia ya libya hapa kila mtu anajua ilikuwa na vikwazo, mkuu soma hizo link nilizokupa sio blablabla za kikweyte sijui mbayuwayu njoo na evidence kwamba hiyo hela sio ya magendo na madawa ya kulevyo, at hapo juu ineonyesha jamaa ali bypass bank system na kuwekaza alitumia majina fake baadhi ya sehemu lakini bila kuna mali aliwekeza baada ya kuongolewa vikwazo
kama unadhani Gaddafi alikuwa ROFA umepotea kuhusu madawa ya kulevya ni hutuma ambayo yeye mwenye ajawahi kukanusha hata kubaka mama na dada za walibya kwa kutumia wanajeshi wake ni moja ya matukio ya Gaddafi na evidence zipo
kama unabisha kama ubishi am out, kama una bisha kuelewa kasoma kwenye media yoyote hata al-jezeera wanakushangaza, kama unauwezo tafuta walibya ongea nao

sasa wanamsingizi utajiri ili iweje? ina maana una TV ukuona nyumba ya mtoto wa kike wa Gaddafi au ndio mgao wa umeme
 
Afrika yote ina hizo rasilimali..nchi ipi nyengine au kiongozi yupi amefanya kama hayo aliyofanya Gaddafi?

Kuhusu mageuzi ,Libya walikuwa tayari wameanza contitutional reform ambayo Saif alikuwa ni chachu ya mageuzi.na wana rekodi nzuri ya human rights. Tayari hapa jf imeekwa report ya libya Bofya hapa They found no fault in Qaddafi so the media invented some for us

Kuhusu fedha na akaunti za siri bado hazijaekwa wazi lakini kuna hii challenge. Bofya links

http://www.youtube.com/watch?v=WUnbmmy036g&feature=player_detailpage

http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=MdFh-x6LOZY

http://www.youtube.com/watch?v=YUkNnQE-9B4&feature=player_detailpage

Unakusudia demokrasia au DOMOkrasia. Bofya links

http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=RMXyCqdPPoU

http://www.youtube.com/watch?v=3HdP0OuFumE&feature=player_detailpage

hizo record wametoa wapi? mbona wana arrest warrant ya ICC
Watanzania tumkuwaje lakini hakuna dot tunayoweza kuunganisha kabisa aisee
huyo SAIF= RI-ONE hapa home sasa unasema hapo kuna haki kweli au ni ufalme
kwa taarifa yako alikuwa next baba yake akitoka
 
Vikwazo,
Maneno ya Kikwete alisema kuwa kama mbayuwayu, ukiambiwa kitu tumia na akili zako wewe mwenyewe... Ghadaff alikuwa banned UK toka miaka ile, Sasa kama anawaibia Walibya awekeze UK kwa sababu gani wakati anajua hawezi kukanyaga? Libya waliwekewa vikwazo vya uchumi na fedha zao kuwa freezed miaka kibao, na majuzi tu baada ya makubaliano na Scotland ndio nchi za magharibi zilianza biashara na Libya, iweje Ghadaffi yule yule aliyekuwa sababu ya Libya kuwekewa vikwazo aendelee kufanya biashara zake..Nchi iwekewe vikwazo lakini sio Ghadaffi afungue hadi account, money laundry nchi zao wasigundue wala wasiseme siku zote hadi leo ndio ushahidi unapatikana ktk vitu vilivyofanyika miaka iliyopita..Imekuwaje rahisi hivyo?

Halafu between April na July mwaka huu US walitangaza ku freeze mali za Libya (Ghadaffi), na madai kama haya yakatokea...Gadaffi alipohojiwa kuhusu tuhuma hizi aliwaambia walete ushahidi, na akasema nawa challenge waonyeshe wazi account ambazo ziko ktk jina lake..hawakufanya na mjadala ukaisha!
Leo hii wewe na akili yako unaamini Ghadaff alikuwa akiuza Cocaine? Hivi afanye money laundry ili iweje wakati yeye ni rais dikteta na anaweza kuwa na cash kiasi chochote anachotaka na asiulizwe na mtu yeyote. Why afanye money laundry wakati yeye mwenyewe ndiye mwenye sheria?. Mtu yeyote anafanya money laundry kukwepa sheria yeye alikuwa nakwepa kitu gani?..

Acheni uchizi, Ghadaffi kisha kufa kaondolewa na Walibya na mali hizi ni za Walibya wenyewe kwa nini mnazitafuta nyie na sii serikali ya Libya?.

@Mkandara hapo kwenye red: kuna uwezekano alikuwa anatumia hiyo kitu? Nauliza tu maana ukimuona anaongea (when he was alive) he sounded completely out of it! Nadhani either hiyo kitu au wanzuki lakini he was never sober.

Kwenye hela, the man was filthy rich and mosty likely there was no difference between his own pocket and the country's treasury! Check out the link especially angalia mtoto wake alinunuje nyumba London.
Gaddafi's death: Governments to hand back dead Libyan tyrant's frozen assets | Mail Online
 
@Mkandara hapo kwenye red: kuna uwezekano alikuwa anatumia hiyo kitu? Nauliza tu maana ukimuona anaongea (when he was alive) he sounded completely out of it! Nadhani either hiyo kitu au wanzuki lakini he was never sober.

Kwenye hela, the man was filthy rich and mosty likely there was no difference between his own pocket and the country's treasury! Check out the link especially angalia mtoto wake alinunuje nyumba London.
Gaddafi's death: Governments to hand back dead Libyan tyrant's frozen assets | Mail Online

hapo ndipo vilaza wengi wameshindwa kushitukia kwamba jamaa alijimilikisha nchi na maliasi
kwa sababu sisi ni watumwa wa MAFISADI tunaona sawa tu na huko
 
Mkuu, Huo ni utajiri wa Libya nchi za nje au ni utajiri wa Gaddafi? Maana Serikali ya Libya Ilikuwa imewekeza ktk nchi mbalimbali haswa hapa Africa na hizo investment zilizuiliwa mara tu vita ilipoanza na ilitangazwa kuwa ni mali za Libya sio Gaddafi au hii ni habari mpya?

thats wat i thought too......sidhani kama hizo pesa zote ni za gadaf bana
 
Vikwazo,
Usianze matusi tunajadiliana hapa. Kama huna jibu nyamaza itawasaidia na wengine kuelewa, huu sii ukumbi wako pekee. Nimekuuliza vizuri maswali unayo majibu yatoe kwa sababu hizi ni habari zinazoandikwa na waandishi wa habari kulingana na walivyopewa. Tuliambiwa Iraq wana WMD, anayetakiwa ku prove nani? tuliambiwa Iran wanataka kumuua balozi wa Saudia wanaotakiwa ku prove nani?

Haya kwa maneno yako Kama Ghadaffi aliweza kufungua account aka bypass utaratibu huo sawa na aliwezaje kuingia nchini humo na kufungua hizo account. Je, wewe unaweza kwenda UK ukafungua account za JK bila yeye kuwepo?..Kama haiwezekani tujiulize tena Ghadaffi anaweza kuingia Bank yoyote ya UK na asijulikane kaingia UK..Kama yote haya yanawezekana basi watuonyeshe Ghadaffi alifanya nini kuweza kufungua hizo account hata kwa ku bypass maanake imesha gundulika lazima kuna njia alotumia kungia UK na kufungua hizo account..

Halafu wewe kweli unaamini Ghadaffi anaweza kuwa na account bank hizi wasiseme zifichwe hizo account kiasi kwamba wafanyakazi hawawezi kuziona ila baada ya kufa kwake ndio accounts zote zinajitokeza. Na nani anayetoa siri hizi maanake ingekuwa Bank ningeamini lakini hawa hawa wanaocheza mchezo kinyume cha sheria mbona wao hawakamatwi?. maanake kama JPMorgan walifanya hivi kinyume cha sheria kwa nini CEO wake asiwekwe ktk hatia leo hii?
 
Wakuu
Pateni break kidogo, angalieni hii movie fupi. Protection of civilians

Bofya kama unapenda action films. ‫
 
@Mkandara hapo kwenye red: kuna uwezekano alikuwa anatumia hiyo kitu? Nauliza tu maana ukimuona anaongea (when he was alive) he sounded completely out of it! Nadhani either hiyo kitu au wanzuki lakini he was never sober.

Kwenye hela, the man was filthy rich and mosty likely there was no difference between his own pocket and the country's treasury! Check out the link especially angalia mtoto wake alinunuje nyumba London.
Gaddafi's death: Governments to hand back dead Libyan tyrant's frozen assets | Mail Online
Kama alikuwa anatumia hilo siwezi kujua na yawezekana kabisa maanake huyu babu hakuwa mzima hivyo, lakini ukinambia alikamatwa na Ton 5.7 za cocaine ati kwa matumizi yake nitakukatalia.. ndio nachomwambia jamaa yangu Vikwazo tutumie nasi akili zetu, Ghadaffi hana sababu ya kuuza Unga ili afanye money laundry wakati yeye ndiye mwenye cash na halali, anaweza kuiweka cash hiyo bank zake na asiulizwe na mtu. Na Money laundry siku zote ni muuza unga au mwenye biashara haramu hubadilisha ili apate cash, huyo Ghadaffi alikuwa na cash sasa anafanya money laundry ili apate Cocaine? yaani anajirudisha yeye mwenyewe ktk matatizo ya kuuza huo unga? Hii kweli inaingia akilini?
 
Back
Top Bottom