Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Sio kama namchukia napenda
niwaambien ukweli fanya ujinga wote usimdhihaki roho mtakatifu,na MUNGU
huyu bwana allienda kwa museveni kufungua misikiti aliotoa kwa hela yake ..alipopewa mike alidai ukristo ni dini ya washenzi, kwanza akuna ukristo duniani
kwa mnaokumbuka mnakumbuka uganda wakristo waliandamana sana na kutaka kuleta fujo..sasa sie tuliokuwa tanzania na kwingineko tuliona wanapoteza muda vita vyetu si juu y damu na nyama ..tukaamua kupiga majeshi,,akika tumeomba sana huyu bwana kabla ya kuondoka dunian MUNGU amjulishe yeye ni nani
na kama MUNGU aishivyo hatochukua miezi kadhaa madarakani akiwa hai ama amekufa ...nasema hivi ikiwa ni onyo kwa walio na akili kama zake yawezekana tunao gadafi wengi sana dunian najua majeshi ya MUNGU ayatamwacha anaemdhihaki akika damu za walibya zinamwagika juu yake lakini utukufu wa MUNGU uonekane kwa kuondolewa ma darakani na hata kufungwa kabisa
huyu mtu hana adabu kabisa kabisa..vijisenti vyake vilifanya hata museven kukaa kimya kabisa na ushenzi wa maraisi wa africa na njaa zao wao shida zao ni zile pesa leo wako wapi wametaifisha kila kitu...mnaokumbuka kule rwanda aliweka kampuni ya simu ..mkuu wa kazi kaimilikisha kwa wanyarwanda na hii ni mfano tu waha zile bank 3 pale kigali kwishne....
Kabla ya kuongea omben MUNGU awajalie kuona ya kesho
mbarikiwe
niwaambien ukweli fanya ujinga wote usimdhihaki roho mtakatifu,na MUNGU
huyu bwana allienda kwa museveni kufungua misikiti aliotoa kwa hela yake ..alipopewa mike alidai ukristo ni dini ya washenzi, kwanza akuna ukristo duniani
kwa mnaokumbuka mnakumbuka uganda wakristo waliandamana sana na kutaka kuleta fujo..sasa sie tuliokuwa tanzania na kwingineko tuliona wanapoteza muda vita vyetu si juu y damu na nyama ..tukaamua kupiga majeshi,,akika tumeomba sana huyu bwana kabla ya kuondoka dunian MUNGU amjulishe yeye ni nani
na kama MUNGU aishivyo hatochukua miezi kadhaa madarakani akiwa hai ama amekufa ...nasema hivi ikiwa ni onyo kwa walio na akili kama zake yawezekana tunao gadafi wengi sana dunian najua majeshi ya MUNGU ayatamwacha anaemdhihaki akika damu za walibya zinamwagika juu yake lakini utukufu wa MUNGU uonekane kwa kuondolewa ma darakani na hata kufungwa kabisa
huyu mtu hana adabu kabisa kabisa..vijisenti vyake vilifanya hata museven kukaa kimya kabisa na ushenzi wa maraisi wa africa na njaa zao wao shida zao ni zile pesa leo wako wapi wametaifisha kila kitu...mnaokumbuka kule rwanda aliweka kampuni ya simu ..mkuu wa kazi kaimilikisha kwa wanyarwanda na hii ni mfano tu waha zile bank 3 pale kigali kwishne....
Kabla ya kuongea omben MUNGU awajalie kuona ya kesho
mbarikiwe