Ukweli mimi nimekata tamaa kama walibya wataweza kumng'oa Gaddafi maana anawaua sana kama wahaya wanaua kumbikumbi. sasa watu wameshikwa na uoga nasikia hata wanaingia mitaani kum-support ni sababu ya kuogopa kuuliwa na mamluku. kwa hali hii katika siku saba zijazo Gaddafi atakuwa amejitangazia ushindi wa uhakika, yaani leo mchana nimeshindwa hata kula kwa huzuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.