Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Kada namba moja wa Ccm hakika Tbc 1 ni ccm nimeanza kugundua wasaliti wa maendeleo ya nchi yetu,huyu Gabriel Zakaria ameingia namba 1666 tunaendelea kulist.
Katoka Star Tv huyo tena ana tabia ya unafiki na majungu hana lolote na ni mtu wa kujipendekeza sana na anapoamua kujipendekeza huwa haoni aibu sasa walimuitia nini TBC 1 kama wanaogopa maneno si wangetafuta mtu wa Gamba ndio aje au?
Baadhi yetu tulidhani huyu ndiye angemrithi Tido. Gabriel ni "mtiifu" sana.Tangu wamwondoe Tido Mhando TBC1 imekaa kichama zaidi.