ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
JF,
Wakati huo sikuwa nafuatilia sana mambo ya siasa, lakini kuna kipindi nikapata kujua kwa juu JUU kuwa kuna Group moja ndani ya bunge lilikuwa linadai tanganyika yetu - hili lilikuwa likijiita G55- kundi machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sasa niwekeni sawa kwa mambo yafuatayo
a) Hili kundi bado lipo na msimamo wake au liliteketezwa kabisa
b) Je members wa hili Group bado wapo hai na wako katika siasa, nakumbuka mmoja tu Njeru Kasaka kama sikosei
c) Je lilikuwa na hoja za msingi kudai tanganyika ila likazimwa tu kunusuru
muungano
d) Kama mtu ana list nzima ya wabunge waliounda G55 hapo aniwekee hapa.
wana JF waliobobea naomba ufafanuzi.
Wakati huo sikuwa nafuatilia sana mambo ya siasa, lakini kuna kipindi nikapata kujua kwa juu JUU kuwa kuna Group moja ndani ya bunge lilikuwa linadai tanganyika yetu - hili lilikuwa likijiita G55- kundi machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sasa niwekeni sawa kwa mambo yafuatayo
a) Hili kundi bado lipo na msimamo wake au liliteketezwa kabisa
b) Je members wa hili Group bado wapo hai na wako katika siasa, nakumbuka mmoja tu Njeru Kasaka kama sikosei
c) Je lilikuwa na hoja za msingi kudai tanganyika ila likazimwa tu kunusuru
muungano
d) Kama mtu ana list nzima ya wabunge waliounda G55 hapo aniwekee hapa.
wana JF waliobobea naomba ufafanuzi.