G. Lema akutana na wana Udom kutoka Arusha.

SOKON 1

JF-Expert Member
Dec 28, 2010
1,134
331
Mbunge wa Arusha G Lema leo jioni amekutana na wana udom wote wanaotoka Arusha. Nakuzungumza nao mambo mengi muhimu ya maendeleo ambayo msomi anatakiwa kuyafanya kutoa mchango ktk suala la katiba pia msomi hatakiwi kunyamaza pindi taifa linapoenda mrama kwani wasomi ndio wanaojua mambo mengi kulinganisha na wale ambao hawajapata fursa ya kusoma.

Baada ya hapo akashiriki chakula cha jioni pamoja nao na kuwajulia hali wanafunzi wote ambao aliwakuta cafteria wakila mda huo.

G Lema tupo pamoja ktk kuendeleza taifa lete
 
Mbunge wa Arusha G Lema leo jioni amekutana na wana udom wote wanaotoka Arusha. Nakuzungumza nao mambo mengi muhimu ya maendeleo ambayo msomi anatakiwa kuyafanya kutoa mchango ktk suala la katiba pia msomi hatakiwi kunyamaza pindi taifa linapoenda mrama kwani wasomi ndio wanaojua mambo mengi kulinganisha na wale ambao hawajapata fursa ya kusoma.

Baada ya hapo akashiriki chakula cha jioni pamoja nao na kuwajulia hali wanafunzi wote ambao aliwakuta cafteria wakila mda huo.

G Lema tupo pamoja ktk kuendeleza taifa lete

aliwalipia hela ya chakula?
 
NGUVU YA UMMA TUNASUBIRI TU MAELEKEZO YA LUGHA YA MWILI WA KIKWETE, MAKINDA NA CCM YAKE JUU YA MUSWADA WA KATIBA MARA BAADA YA 'PUBLIC HEARING' NA HATIMAYE MCHANGO WA WABUNGE NDANI YA BUNGE DODOMA!!!

Kama mtu atakua anayakodolea tu macho huo mkutana wa Mhe Lema na Machalii wa Makao Makuu ya mabadiliko (Arusha) nchini na kutafuta kunusanusa kwamba kumeongeleka nini basi ni kupoteza to muda.

Mikutano karibu yote muhimu na washikadau nchini kote nchini tayari yamekamilika kiaina, mijini na vijijini na ujumbe wa mabadiliko bado yanasambaa huko kama moto wa kiangazi porini.

Kinachosubiriwa sasa hivi tu ni mwelekeo gani huo Muswada wa CCM juu ya katiba utachukua mara baada ya kilichoitwa 'Public Hearing' na hatimaye mchango wa bunge juu ya hili; hasa wabunge wa CCM na endapo kwao Maslahi ya Umma ndi yatatangulizwa au ya CCM.

Yaani hadi hatua ya hivi sasa ni kwamba serikali ya Kikwete ndio itakayotuelekeza nini cha kufanya, kutokana na matendo yake ndani ya kipindi kifupi kijacho ndani ya mwezi April, sisi kama Nguvu ya Umma kote ncini kulinda haki na maslahii yetu.

Haki mbeeeele kama tai katika wananchi kushika ushukani kuamua na kusimamia mwelekeo mzima wa mchakato wa Katiba Mpya nchini. Kila kijana Tanzania Bara na Visiwani, muda wa Ukombozi u jirani leo kuliko hapo jana na hivyo sote tukae mkao wa ushindi juu ya mchakato wa katiba nchini kumalizana salama na MAFISADI nchini.

Huu uvumilivu wetu wote ni kwa ajili ya kutopenda kusikia kisingizio chochote hapo baadaye mtu akitulalamikia vijana kwa hatua zitakazofuatia katika ukombozi wa taifa letu tuipendayo kwa njia ya amani.

Hivi huo muswada ndo unapitishwa kesho ama? Sababu kunahabari wanaharakati wamejiandaa kesho bungeni kwenda kuupinga.
 
Back
Top Bottom