ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Oct 7, 2012 #1 Kuna wenzetu maisha ni kama haya!!!...
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Oct 7, 2012 #2 Nilitarajia kuona picha ya nanihii.. Yule nani vile...? Amepewa jezi na 12
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,393 Oct 7, 2012 #3 Baba V said: Nilitarajia kuona picha ya nanihii.. Yule nani vile...? Amepewa jezi na 12 Click to expand... ahaa unamzungmzia Jwani Mafwenga Kasapila
Baba V said: Nilitarajia kuona picha ya nanihii.. Yule nani vile...? Amepewa jezi na 12 Click to expand... ahaa unamzungmzia Jwani Mafwenga Kasapila
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Oct 7, 2012 #4 Mtambuzi said: ahaa unamzungmzia Jwani Mafwenga Kasapila Click to expand... Umejuaje? Anatokea pande za bagamoyo pale tukuyu,!? Sijui amesharudi nyumbani nikaombe chandarua kimoja? Najua atakuwa amekuja navyo tu.Mwewe anamaliza vifaranga vya kuku wangu
Mtambuzi said: ahaa unamzungmzia Jwani Mafwenga Kasapila Click to expand... Umejuaje? Anatokea pande za bagamoyo pale tukuyu,!? Sijui amesharudi nyumbani nikaombe chandarua kimoja? Najua atakuwa amekuja navyo tu.Mwewe anamaliza vifaranga vya kuku wangu
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Oct 7, 2012 #5 Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah:director:
Nicole JF-Expert Member Sep 7, 2012 4,274 2,514 Oct 7, 2012 #6 vipi kasharud? Au anamalizia tour yake