BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Habari zenu wakuu,
Nina mtaji wa sh milioni kumi, nahitaji kufanya biashara nchini Congo. Mimi nilikuwa na mawazo ya kufanya biashara ya vitenge kutoka Congo na kuleta Tanzania na biashara ya kuchukua vifaa vya ujenzi kutoka Tanzania kupeleka Congo.
Ninafahamu fika kuwa humu ndani kuna watu wenye uzoefu zaidi wa biashara ambao yawezekana tayari walishakwenda Congo hivyo wanafahamu fursa zilizopo huko.
Naombeni sana mnisaidie mawazo yenu ili nisipoteze mtaji wangu nilioupata kwa shida.
Asanteni sana
Nina mtaji wa sh milioni kumi, nahitaji kufanya biashara nchini Congo. Mimi nilikuwa na mawazo ya kufanya biashara ya vitenge kutoka Congo na kuleta Tanzania na biashara ya kuchukua vifaa vya ujenzi kutoka Tanzania kupeleka Congo.
Ninafahamu fika kuwa humu ndani kuna watu wenye uzoefu zaidi wa biashara ambao yawezekana tayari walishakwenda Congo hivyo wanafahamu fursa zilizopo huko.
Naombeni sana mnisaidie mawazo yenu ili nisipoteze mtaji wangu nilioupata kwa shida.
Asanteni sana