Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi
Nina mjadala, dukuduku,ushauri chanagamoto oghhhh sijui utavyoita wewe soma utoe maoni yako.
Ni kuhusu ofisi za serikali na taasisi nyingine binafsi kama kweli zinatumia fursa za Teknolojia ya habri na mawasiliona kuboresha utendaji, kutoa huduma bora na kusaidia kufanya maamuzi sahihi.
Najua taasisi nyingi zinatumia fusra za ICT kurekodi na kurahisisha processing ya mambo fulani.na sana sana zinahusiana na Mishahara, Uhasibu na HR. Mifumo mingi ya ICT ipo katika hali inayoitwa database.
Ningependa kujua kama Idara ya Polisi ina intgergated IS
Changamoto au mfano huu wa Duplication ya system unaweza kuwasadia hata wizara ya ardhi na nyumba. Kupata ramani ya jiji ilivyo sasa ni kazi lakini wakishirikiana na googlemaps. Wizara inaweza kujikuta inatumia kiasi kidogo kuliko kufanya zoezi lao kivyao
Kuna fusa nyingi kuna changamoto nyingi za ICT je wewe unamawazo gani katika sekta gani?
Nawasilisha
Nina mjadala, dukuduku,ushauri chanagamoto oghhhh sijui utavyoita wewe soma utoe maoni yako.
Ni kuhusu ofisi za serikali na taasisi nyingine binafsi kama kweli zinatumia fursa za Teknolojia ya habri na mawasiliona kuboresha utendaji, kutoa huduma bora na kusaidia kufanya maamuzi sahihi.
Najua taasisi nyingi zinatumia fusra za ICT kurekodi na kurahisisha processing ya mambo fulani.na sana sana zinahusiana na Mishahara, Uhasibu na HR. Mifumo mingi ya ICT ipo katika hali inayoitwa database.
Ningependa kujua kama Idara ya Polisi ina intgergated IS
- Inayowawezesha kuwa na acess kufanya analssya ya Data zilizopo kwenye daftari la mpiga kura pindi may be yanapopelekwa mashtaka ya mtu fulani
- na baadhi ya system za TRA may be ya usajili wa magari.Inayowawezesha wakitaka Kujua Raia XYZ ana miliki magari mangapi.
Changamoto au mfano huu wa Duplication ya system unaweza kuwasadia hata wizara ya ardhi na nyumba. Kupata ramani ya jiji ilivyo sasa ni kazi lakini wakishirikiana na googlemaps. Wizara inaweza kujikuta inatumia kiasi kidogo kuliko kufanya zoezi lao kivyao
Kuna fusa nyingi kuna changamoto nyingi za ICT je wewe unamawazo gani katika sekta gani?
Nawasilisha