Amani iwe kwenu wana JF,
Napenda kuwashikrikisha ili wapendwa ( tulichambue, tuelezana, tufundishana)
Katika jamii yetu kila binadamu anahitaji furaha katika maisha yake yote, lakini furaha iyo yapatikana wapi? nani anaepaswa kukupa furaha??
Kuna kamsemo tumezoea kusema, mke mwema, baba bora hawa watu wanapatikana vipi?? utawajua vipi??
Kuna mtu yeye anasema mke mwema awe na mdomo mdogo, maana yake asiwe mwanamke wa kuongea akiaanza kuongea hasubuhi hadi hasubuhi anaongea tu,
(macho makubwa), awe anataza mbali, mbunifu n.k
(masikio madogo), awe ni mtu wa kusikiliza na kupambanua mambo, sio kaambiwa kitu na shogayake yeye huyo ananunaaaa (miguu iwe mizito kama ya tembo), mwanamke unatakiwa kutulia nyumbani kwako sio kila siku kiguu na njia shughuli isikupite, sare wewe n.k
mume bora awe anaejua majukumu yake.
Mwisho tunatakiwa furaha ianzie na wewe.
Wewe mdau wa JF, unaweza kuongezea,unahitaji mkeo awe vipi, mumeo awe vipi ili furaha itawale nyumbani kwako?
nawakilisha.
Napenda kuwashikrikisha ili wapendwa ( tulichambue, tuelezana, tufundishana)
Katika jamii yetu kila binadamu anahitaji furaha katika maisha yake yote, lakini furaha iyo yapatikana wapi? nani anaepaswa kukupa furaha??
Kuna kamsemo tumezoea kusema, mke mwema, baba bora hawa watu wanapatikana vipi?? utawajua vipi??
Kuna mtu yeye anasema mke mwema awe na mdomo mdogo, maana yake asiwe mwanamke wa kuongea akiaanza kuongea hasubuhi hadi hasubuhi anaongea tu,
(macho makubwa), awe anataza mbali, mbunifu n.k
(masikio madogo), awe ni mtu wa kusikiliza na kupambanua mambo, sio kaambiwa kitu na shogayake yeye huyo ananunaaaa (miguu iwe mizito kama ya tembo), mwanamke unatakiwa kutulia nyumbani kwako sio kila siku kiguu na njia shughuli isikupite, sare wewe n.k
mume bora awe anaejua majukumu yake.
Mwisho tunatakiwa furaha ianzie na wewe.
Wewe mdau wa JF, unaweza kuongezea,unahitaji mkeo awe vipi, mumeo awe vipi ili furaha itawale nyumbani kwako?
nawakilisha.