Furaha ya usiku yavurugwa na condom zilizo expire

jamani juzi nilikosa raha baada ya kushindwa kufanya tendo la ndoa na mke wangu baada ya mwenye duka kuniuzia condom zilizo expire. kwa vile mke wangu alikuwa kwenye siku za hatari na sisi wenyewe hatukutala kuleta kuimbe wmingine duniani mapema mno, niliamua kwenda dukani kununua condom. kwa vile zilikuwa kwenye vibox sikupata muda wa kuchek kama zime expire. Nilipofika nyumbani usiku kwa wati mke wangu amesha jiandaa mi nilifungua box la condom ili nichukue condom moja na kuivaa lakini cha kushangaza muda wa matumizi ulikuwa umeshapita tangu nov. 2011. ilibidi nimtaarifu mwandani wangu kilichojiri na kuairisha zoezi inagakwa maumivu makali.

maswali. w
1. Kwa wale wanaofanya mapezi ya chapchap , vichakani, gizani, na kwingineko wanapata muda wa kuangalia expiring date?
2. Je wauzaji wanajua mwanya huo kiasi kwamba wanawabambikiza wateja condom zilizo expire?
3. Nini madhara ya kutumia condom zilizoexpire kwa wanaume au wanawake?
4. Nini kifanyike ili kuzuia tabia hii chafu ya wenye maduka kuuza condom zilizo expire wakiamini kuwa wanawauzia watu ambao kutokana na ashki ya mapenzi hawatapata muda wa kuangalia tar. ya kuexpire?
Kiongozi hiyo silaha ilikuwa na dalili zozote za kukutia shaka zilizopelekea ukaangalia expire date au ndio utaratibu wako,kwani ni ngumu kumesa mkuu kama mmeshapasha vyakutosha halafu game lihailishwe kienyeji namna hiyo bana..vinginevyo umeamua kutufikishia ujumbe tuwe makini na expiry date za zana za vita kabla ujaingia vitani kwa hilo shukran.
 
Wewe sio mpiganaji hata kidogo, mwanajeshi akiingia vitani halafu buti lake likaharibika hawezi kurudi nyuma lazima atasonga mbele. Ulitakiwa uende duka lingine au upige katerero ya maana kesho yake mnaanika godoro juani
 
Expire date dont matter,ishu ni kuzuia pregnancy,ungepiga hivyo hivyo unless labda ulikuwa unazuia kitu kingine from ur wife.au ulikuwa unaogopa condom itapitisha sparms
Nilikuwa naogopa kondom kuwa na side effects kwenye kibamia changu au kwenye nyeti za mke wangu
 
we kama una do na mkeo umeshindwa kusoma expiry date hao wa gizani wataweza?
 
Utafananishaje hiyo hali na joto??

(a)Hapa kuna scenarios nne:

(1) Nyege imetawala
(2) Siku ni za hatari
(3) hawako tayari kupata mtoto
(4) Condom zime expire

(b)kwenye ishu ya joto kuna scenario moja tu ambayo ni joto limezidi

how can you compare?

Tumia ndogo kwn mkeo si myao huwa wanafundishwa kutoa emergence wakiwa unyagon!

Labda sio mim mke wngu wa ndoa na kondomu wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom