The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 966
- 970
Kiongozi hiyo silaha ilikuwa na dalili zozote za kukutia shaka zilizopelekea ukaangalia expire date au ndio utaratibu wako,kwani ni ngumu kumesa mkuu kama mmeshapasha vyakutosha halafu game lihailishwe kienyeji namna hiyo bana..vinginevyo umeamua kutufikishia ujumbe tuwe makini na expiry date za zana za vita kabla ujaingia vitani kwa hilo shukran.jamani juzi nilikosa raha baada ya kushindwa kufanya tendo la ndoa na mke wangu baada ya mwenye duka kuniuzia condom zilizo expire. kwa vile mke wangu alikuwa kwenye siku za hatari na sisi wenyewe hatukutala kuleta kuimbe wmingine duniani mapema mno, niliamua kwenda dukani kununua condom. kwa vile zilikuwa kwenye vibox sikupata muda wa kuchek kama zime expire. Nilipofika nyumbani usiku kwa wati mke wangu amesha jiandaa mi nilifungua box la condom ili nichukue condom moja na kuivaa lakini cha kushangaza muda wa matumizi ulikuwa umeshapita tangu nov. 2011. ilibidi nimtaarifu mwandani wangu kilichojiri na kuairisha zoezi inagakwa maumivu makali.
maswali. w
1. Kwa wale wanaofanya mapezi ya chapchap , vichakani, gizani, na kwingineko wanapata muda wa kuangalia expiring date?
2. Je wauzaji wanajua mwanya huo kiasi kwamba wanawabambikiza wateja condom zilizo expire?
3. Nini madhara ya kutumia condom zilizoexpire kwa wanaume au wanawake?
4. Nini kifanyike ili kuzuia tabia hii chafu ya wenye maduka kuuza condom zilizo expire wakiamini kuwa wanawauzia watu ambao kutokana na ashki ya mapenzi hawatapata muda wa kuangalia tar. ya kuexpire?