Fununu: Mabadiliko Jumatano ya Baraza la Mawaziri

mwana siasa

Senior Member
Aug 28, 2007
119
6

Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi);
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba

pia katika pita pita yangu ya hapa nakule nimeweza kupata tetesi kuwa wafiatao HUENDA wakawa ndani,
1-aggrey mwanri
2-jaka mwambi
3-harrison mwakyembe
4-makamba(inasemekana kwa yeye kupitishwa tena ukatibu ilikuwa si pendekezo na pia habari ya kutolewa ukatibu ilikuwa imezagaa mno) la wakubwa,so kitakachotokea huenda akaachia ngazi ya ukatibu ili nae aingie barazani
5-rostam azizi
6-na pia katika nafasi ya mpendwa wetu marehemu salome mbatia(rip)inasemekana nafasi yake inaweza ikachukuliwa na wafuatao;
tatu ntimizi
frolence kyendesya
mama shelukindo
jenista mhagama

hizi ndo tetesi nilizoweza kupata,kama kuna mwengine ana lolote basi jamvi liko wazi
 
Hakutakuwa na jipya zaidi ya kuendelea kuiba na kunenepesha vitambi vyao.nafasi ya marehemu mabtia lazima ishikwe na mwanamke tena?
Vitu vingine vinalazimishwa tu ati lazima wanawake wawepo hata kama hawana uwezo wa kuongoza.
 
MTU: Kwa mazoea wizara ya maendeleo ya Jamii, wanawake jinsia na watoto huongozwa na wanawake kwa sababu hilo ndio eneo lao la kujidai
 
Hizi tetesi kweli!

Ila kama zitakuwa kweli basi kioja kingine? Makamba waziri?? na RA hakika itakuwa serikali ya kishikaji haswaaaaaaaa!

Katika yote mbona sioni jina la Kara..???

Bora zibaki kuwa tetesi! Kwani ni vigumu aondoke Ngeleja abaki kara...
 
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi);
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba

pia katika pita pita yangu ya hapa nakule nimeweza kupata tetesi kuwa wafiatao HUENDA wakawa ndani,
1-aggrey mwanri
2-jaka mwambi
3-harrison mwakyembe
4-makamba(inasemekana kwa yeye kupitishwa tena ukatibu ilikuwa si pendekezo na pia habari ya kutolewa ukatibu ilikuwa imezagaa mno) la wakubwa,so kitakachotokea huenda akaachia ngazi ya ukatibu ili nae aingie barazani
5-rostam azizi
6-na pia katika nafasi ya mpendwa wetu marehemu salome mbatia(rip)inasemekana nafasi yake inaweza ikachukuliwa na wafuatao;
tatu ntimizi
frolence kyendesya
mama shelukindo
jenista mhagama

hizi ndo tetesi nilizoweza kupata,kama kuna mwengine ana lolote basi jamvi liko wazi

Umeanza vizuri kwa kusema hizo ni tetesi, je tetesi zako zinasemaje kuhusu sababu za cabinet reshuffle?
 
JK bado ana nafasi mbili za Ubunge wa Kuteua.. natumaini atafanya hivyo muda si mrefu na mmoja wao/au wote wawili wanaweza kuingia as full minister. So, nani yuko CCM lakini si Mbunge na ana uwezo wa kuwa Waziri?
 
JK bado ana nafasi mbili za Ubunge wa Kuteua.. natumaini atafanya hivyo muda si mrefu na mmoja wao/au wote wawili wanaweza kuingia as full minister. So, nani yuko CCM lakini si Mbunge na ana uwezo wa kuwa Waziri?

ktk nafasi hizo za kuteuliwa I wish moja apewe Mheshimiwa sana, memba wa JF bwana Mkulukulu ES ili akatusaidia ku-shake up mambo bungeni kwa kumkoma nyani (sio Ngabu) giladi mchana kweupee!!.
Asante......mambo ya jumapili haya, watu wanapiga "ustaadhi ushungi"
 
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba

Nachokijua wanaotoka ni Mramba na Mungai,na hili liko wazi..Mramba ameshaanza kujiandaa kuachia ngazi,Mtandao haumtaki.

Mh. William Ngeleja kutoka ni vigumu,ni mmoja wa vijana ambao Kikwete anawaamini sana,na mara kadhaa Muungwana amekuwa akumfagilia,anaweza kumpa u -full minister.
Masha,Dk Mathayo wanaweza kung'oka,Kwanza Masaha aliharibu sana wakati yuko Madini pamoja na Matahayo,REjea mabadiliko ya Mawaziri ya kipindi kile.
Dk. Nchimbi ndie mchawi mkubwa wa kikwete,Kumng'oa yeye ni sawa sawa na kumuangusha JK,Kwa hasira anaweza kumuanika Muungwana hadharani.
Professa Msola ,huyu anaweza kungoka,Wizara imemshinda na hata juzi wakati wanafunzi maakada walipokuwa Dodoma wanalalmika kukosa Mikopo kuchelewa JK alichukizwa na hili,na alimuuliza hivi ni lini utaacha kuwalea watu wa bodi?
Profess Mwandosya hawezi kung'oka ,Kwanza itapunguza mtaji wa CCM katika kura hasa Mbeya ambako kanda ya kusini wanaamini Mwandosya ndio Rais wao.
Mabadiliko yanakuja ila ni Desemba,ila nalolijua cabinet iliyopita Muungwana alikataa Kuwaongezea muda PSRC,kuna kashfa nzito ambayo ilimchukiza muungwana..
 
JK bado ana nafasi mbili za Ubunge wa Kuteua.. natumaini atafanya hivyo muda si mrefu na mmoja wao/au wote wawili wanaweza kuingia as full minister. So, nani yuko CCM lakini si Mbunge na ana uwezo wa kuwa Waziri?

Mwanakijiji mbona hautaki kuwa muwazi,Sema ni nani huyo aliyeitwa ikulu?
 
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi);
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba

pia katika pita pita yangu ya hapa nakule nimeweza kupata tetesi kuwa wafiatao HUENDA wakawa ndani,
1-aggrey mwanri
2-jaka mwambi
3-harrison mwakyembe
4-makamba(inasemekana kwa yeye kupitishwa tena ukatibu ilikuwa si pendekezo na pia habari ya kutolewa ukatibu ilikuwa imezagaa mno) la wakubwa,so kitakachotokea huenda akaachia ngazi ya ukatibu ili nae aingie barazani
5-rostam azizi
6-na pia katika nafasi ya mpendwa wetu marehemu salome mbatia(rip)inasemekana nafasi yake inaweza ikachukuliwa na wafuatao;
tatu ntimizi
frolence kyendesya
mama shelukindo
jenista mhagama

hizi ndo tetesi nilizoweza kupata,kama kuna mwengine ana lolote basi jamvi liko wazi


VIPI KUHUSU WALIOTAJWA KWENYE KASHFA YA UFISADI: KAMA KARAMAGI, CHENGE NA WENGINEO? INA MAANA WATAENDELEA KUWEPO?
 
Muungwana anashindwa kufahamu kuwa tatizo ni yeye mwenyewe na PM wake. Hata akiweka watu safi kiasi gana kwanza watakuwa sidelined na kuonekana hawawezi. Management style ya JK ndio tatizo.
 
UMEMSAHAU MH. KALAMAGI naye ni OUT arudi kwao akalime.
msije shangaa nafasi yake akapewa ROSTAM AZIZI.
 
Mramba akae Benchi bwana amechoka kwanza sidhani kama anaweza kukabiliana na challenge za kibiashara zilizopo hapa duniani.
Akatusubiri tukapambane nae 2010 kule jimboni kwake alikobinafsisha.Asubiri kukabiliana na kizazi kipya

Ila Makamba waziri tena? Duh,hii itakua mbaya kuliko ni bora JK asifanye mabadiliko
 
nadhani wenye njaa sana wakiingizwa kilio kitaanza upya. nadhani usalama wa taifa wakihusishwa wanawajua wale ambao hawana kashfa wala nini. tuache mambo ya kishkaji na kubebana. sera ziwe ndicho kigezo cha kiongozi bora. hatutaki watawala bali viongozi maana watawala ni makatibu wakuu wa wizara hizo. naunga mkono mabadiliko ya kabineti hasa yakiwa chanya
 
nadhani wenye njaa sana wakiingizwa kilio kitaanza upya. nadhani usalama wa taifa wakihusishwa wanawajua wale ambao hawana kashfa wala nini. tuache mambo ya kishkaji na kubebana. sera ziwe ndicho kigezo cha kiongozi bora. hatutaki watawala bali viongozi maana watawala ni makatibu wakuu wa wizara hizo. naunga mkono mabadiliko ya kabineti hasa yakiwa chanya
ina maana viongozi wetu huwa wanapangwa na hawa watu wa Usalama??
 
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi);
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba

pia katika pita pita yangu ya hapa nakule nimeweza kupata tetesi kuwa wafiatao HUENDA wakawa ndani,
1-aggrey mwanri
2-jaka mwambi
3-harrison mwakyembe
4-makamba(inasemekana kwa yeye kupitishwa tena ukatibu ilikuwa si pendekezo na pia habari ya kutolewa ukatibu ilikuwa imezagaa mno) la wakubwa,so kitakachotokea huenda akaachia ngazi ya ukatibu ili nae aingie barazani
5-rostam azizi
6-na pia katika nafasi ya mpendwa wetu marehemu salome mbatia(rip)inasemekana nafasi yake inaweza ikachukuliwa na wafuatao;
tatu ntimizi
frolence kyendesya
mama shelukindo
jenista mhagama

hizi ndo tetesi nilizoweza kupata,kama kuna mwengine ana lolote basi jamvi liko wazi


Mheshimiwa Admin.. naomba tuirudishe kule kwenye Siasa kwani kuna mambo mazito sana ndani yake.

Ni wazi kuwa Baraza lililopo sasa licha kupewa semina ya Ngurdoto halijaweza kutimiza na kutuliza kiu na matarajio ya Watanzania.

tatizo langu kubwa ni kuwa kama atakubali kufanya mabadiliko wakati huu atakuwa ameonesha udhaifu mwingine kama kiongozi, ule wa kutabirika!
 
On the other hand, Makamba akiunyaka Uwaziri nina uhaika atakuwa ni Waziri Mzuri kuliko hawa maprofesa walioulundikana kwenye maofisi yao yenye viyoyozi vinavyonguruma kwa kupiga mluzi! Makamba siyo political strategist ila yeye ni mtendaji na kiongozi kweli. Nafasi ya Ukatibu Mkuu haikumfaa lakini akiwa Waziri believe me watu watapenda utendaji kazi wake kwani ni miongoni mwa viongozi wachache ambao wanajitolea kikweli kweli katika kazi zao na ni mtu anayeshirikisha mawazo mbadala na kusikiliza.

Cheo Kizuri kwa bwana huyu ni Uwaziri unaohusiana na maisha ya kila siku ya wananchi ambapo maamuzi ya kijasiri yanatakiwa. Mambo ya Ndani, Elimu ya Juu n.k zitakuwa ni nafasi nzuri kwake.
 
Back
Top Bottom