Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Robot,
Hilo gari limeandikwa Babako analo unajua lipo wapi hapa TZ? ......menikumbusha mbali sana!
Kuanzia sasa nitakuwa nawawekea clips za kuvunja mbavu. Hizi ukiangalia ni hakika utacheka hadi unenepe na kusahau kero za siku.
Naanza na hii: Iangalie, haitakaa sana hewani nitakuwa naweka moja kila baada ya siku 3. Nakushauri kama unapenda download it. Ni safe (I assure)
Siku njema
Duh na huyu naye cha moto alipata na kwenye jumping yakeKwa wapenzi wa michezo nawapendelea hii moja... Haha, usiombe wewe uwe mwanamichezo na ukumbwe na fedheha hii!
Regards, kesho basi
Mkuu Invisible umeniacha hoi sasa huyo ni mtoto au mpira?Kuanzia sasa nitakuwa nawawekea clips za kuvunja mbavu. Hizi ukiangalia ni hakika utacheka hadi unenepe na kusahau kero za siku.
Naanza na hii: Iangalie, haitakaa sana hewani nitakuwa naweka moja kila baada ya siku 3. Nakushauri kama unapenda download it. Ni safe (I assure)
Siku njema
Meno atakuwa nayo huyoo mbona balaa imemkutaKwa wapenzi wa michezo nawapendelea hii moja... Haha, usiombe wewe uwe mwanamichezo na ukumbwe na fedheha hii!
Regards, kesho basi