Huenda mke wako ana fungus ya kwenye kidole. Bahati mbaye fungus hizo zipo za aina nyingi na ni vigumu kukisia dawa inayoweza kumponya. Bali ushauri wangu ni kuwa mpeleke kwa madaktari.
inawezekana kweli ni maambukizi ya fungus kwenye kucha na km itangundulika ni fungus, dawa ya kutibu kabisa ipo, bali itabidi atumie dawa hiyo kwa muda mrefu kidogo mara nyingi angalau miezi 3 au zaidi, kwa hiyo ni bora mkamwone professional doctor anaetambulika kwa msaada zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.