Nafikiri bado hatuna mfumo baada ya ule wa Mwl. Nyerere wa Elimu ya kujitegemea iliyohusisha ufundi mashuleni. system iliyopo ndiyo tegemeo la wazungu na mapendekezo yao katika mtaala wa elimu 'kutengeneza mtanzania asiyeweza kujitegemea bali kuwa tegemezi' kwahiyo usitegemee mfumo wa elimu ya tanzania kuwezesha mwanafunzi kufikia malengo yoyote zaidi ya kujifunza ku-repair na ku-cope and paste
Karibu sana hapa JF. Naona unajifunza namna ya kuanzisha mada. Siku nyingine tulia, fikiria na andika jambo la maana. Sasa unapolazimisha wasomaji unakuwa kama hujaenda shule.
ukweli ni kuwa mada hii ni nzuri sana. ila kichwa cha habari kama inawezekana kifanyiwe marekebisho. Elimu yetu hata kule VETA naona ni mh!!! kuajiriwa na si kujiajiri. Na ukiajiriwa tu imepotea elimu yako.
Karibu sana hapa JF. Naona unajifunza namna ya kuanzisha mada. Siku nyingine tulia, fikiria na andika jambo la maana. Sasa unapolazimisha wasomaji unakuwa kama hujaenda shule.
Malengo yatafikiwa tu ikiwa kutakuwepo na SERA YA ELIMU elimu ya msingi,sekondari ya juu ya ufundi n.k kusipokuwepo na hiyo sera atakuja waziri mwingine aanzishe somo la Kiswaenglish kama waziri fulani alivyoanzisha somo la Physchemistry,huku akijua anaharibu jamii ya wasomi Tanzania,hata hivyo mfumo wa elimu hivi sasa ni wa kucopy na kupest masomo yaleyale mtindo wa kusahihisha kutunga maswali uleule toka msingi hadi chuo,hata Thesis mada ni zilezile hii inatoa nafasi ya copy and paste.hakuna jipya.waalimu hawataki kuharibu ubongo wao kwa kufikiri mambo mapya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.