Vyoo vya shule nikiwa sekondary mtu anaingia chooni akishakunga anachukua mavi na kupiga nayo chata ukutani hapo ndo niliamini shm ya public ina vituko!
Siku nilipo kunywa pombe nikiwa mdogo kisha nikajifanya sijanywa
Baba akanituma nikachote maji kwenye Beseni nikachota nika beba kutumia kichwa
Kufika nyumbani hakuna maji hata kidogo
cku nliyokuwa nnajifunza lugha ya kituruk kabla ya kuingia chuon...kwny tren nkamkanyaga mtoto wa kituruk sa baada ya kumwambia samahan...nkajkuta namwambia kuwa na afya njema kwa kituruk( huambiwa watu wakiwa wanakula). bac kwny tren watu wakanza kuangua kicheko! lol! nkabak nnashanga hawa wanacheka nn? coz mwnyw nlikuwa naona nko sawa 100%. ile kushuka wezang wakaniambia kuwa nlikosea. dah! nliumbukaje!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.