Yaani nasikia kichefuchefu nikiona vijana waliosoma na kufika chuo na kudai
wanaomba kuelezea hisia za chama chao na wanaitaji chama cha aina gani
embu wasikilize hao nao kama misukule ya ccm wakiongozwa na yule
makwaia wa kuhenga craizy babu
Mi sijaona tatizo! Wanahaki ya kutetea kile wanachokiamini, ili mradi wasivunje sheria, sio lazima watu wote washabikie cdm au cuf n.k. Hata ccm nacho ni chama kama vingine. Kila mtu ana mawazo yake na mtazamo wake tofauti na wakwako. Mfano: Kuna watu hawampendi lowassa na kunawatu wengine wanampenda na kumwamini. Hiyo ndio Demokrasia.
Afu ww jyinga kabisa na nadhani huelewi nini maana ya msomi, shortly MSOMI NI YULE ANAYETAMBUA HISIA SAHIHI NA FIKRA ZAKE NAKUZIHESHIMU PASIPOKUBURUZWA NA MTU, NA JINGA NI LILE LINALOBURUZWA NA KUPOKEA KILA KITU BILA KUFANYA UTAFITI ON WHY SO?? JIANGALIE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.