Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and <br />
<br />
K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...<br />
<br />
wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa<br />
<br />
suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma <br />
<br />
line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na <br />
<br />
kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya<br />
<br />
jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD <br />
<br />
sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao<br />
<br />
wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA <br />
<br />
ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa <br />
<br />
wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu <br />
<br />
line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa<br />
<br />
nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi <br />
<br />
kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:<br />
<br />
Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka<br />
<br />
na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda <br />
<br />
na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke<br />
<br />
automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33430&amp;stc=1" attachmentid="33430" alt="" id="vbattach_33430" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33431&amp;stc=1" attachmentid="33431" alt="" id="vbattach_33431" class="previewthumb size_large" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33432&amp;stc=1" attachmentid="33432" alt="" id="vbattach_33432" class="previewthumb size_medium" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33433&amp;stc=1" attachmentid="33433" alt="" id="vbattach_33433" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa <a href="http://www.4shared.com/file/SMT1PLax/ZTE_Join_Air-10.htm" target="_blank">ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download</a> kisha install Then <br />
<br />
ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect <br />
<br />
sasa imefunguka na kusoma iyo line;<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33434&amp;stc=1" attachmentid="33434" alt="" id="vbattach_33434" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33435&amp;stc=1" attachmentid="33435" alt="" id="vbattach_33435" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33436&amp;stc=1" attachmentid="33436" alt="" id="vbattach_33436" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33437&amp;stc=1" attachmentid="33437" alt="" id="vbattach_33437" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33438&amp;stc=1" attachmentid="33438" alt="" id="vbattach_33438" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33439&amp;stc=1" attachmentid="33439" alt="" id="vbattach_33439" class="previewthumb size_large" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33440&amp;stc=1" attachmentid="33440" alt="" id="vbattach_33440" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA <br />
<br />
THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR; <br />
<br />
sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye <br />
<br />
DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya <br />
<br />
kudownload hii apa <a href="http://the.earth.li/%7Esgtatham/putty/latest/x86/putty.exe" target="_blank">http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe</a> <br />
<br />
Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE<br />
<br />
MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta <br />
<br />
ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33441&amp;stc=1" attachmentid="33441" alt="" id="vbattach_33441" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33444&amp;stc=1" attachmentid="33444" alt="" id="vbattach_33444" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33446&amp;stc=1" attachmentid="33446" alt="" id="vbattach_33446" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33447&amp;stc=1" attachmentid="33447" alt="" id="vbattach_33447" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33449&amp;stc=1" attachmentid="33449" alt="" id="vbattach_33449" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin<br />
<br />
Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33451&amp;stc=1" attachmentid="33451" alt="" id="vbattach_33451" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR <br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33450&amp;stc=1" attachmentid="33450" alt="" id="vbattach_33450" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="4">YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII <br />
<br />
THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA <br />
<br />
FEEDBACKS!</font>
<br />
<br />
mkuu kunauwezekano nikufuate unisaidie kuifanya hii kitu!!!kama ndio gharama zako zikoje??na unapatikana wapi??
 
<br />
<br />
mkuu kunauwezekano nikufuate unisaidie kuifanya hii kitu!!!kama ndio gharama zako zikoje??na unapatikana wapi??
Duuh mkuu naona apo nimejaribu kuelezea kwa kina sana lakini kama haujaelewa powa mie nko dar ucjal stakuchaj kitu coz hii procedure ni fast and easy labda subiri nitatengeneza video tutorial A-Z sasa apo naona utaweza elewa na kufanya mwenyewe... DUUUUH!
 
Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and

K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...

wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa

suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma

line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na

kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya

jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD

sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao

wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA

ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa

wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu

line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa

nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi

kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:

Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka

na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda

na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke

automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii

View attachment 33430


View attachment 33431View attachment 33432


View attachment 33433

Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download kisha install Then

ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect

sasa imefunguka na kusoma iyo line;


View attachment 33434



View attachment 33435


View attachment 33436


View attachment 33437


View attachment 33438



View attachment 33439 View attachment 33440



SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA

THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR;

sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye

DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya

kudownload hii apa http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe

Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE

MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta

ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;

View attachment 33441


View attachment 33444


View attachment 33446


View attachment 33447

View attachment 33449


Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin

Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa

View attachment 33451

Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR

View attachment 33450



YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII

THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA

FEEDBACKS!



mkuu shukrani sana, nimejaribu na nimefanikiwa kuiconfigure na sasa natumia line zote tu. tatizo nikiweka modem inaanza kufungua join air then shortly inafata vodafone dashboard, naexit vodafone nabakiwa na join air, ila nikiweka line ya voda inafungua join air dashboard only - hapo nofanyeje mkuu. tatizo lingine neno system halipo ktk settings za dashboard
 
dah! Shukran mkuu maana,nilichoka na mb 250 kwa elfkumi,bt nw najiachia na mb400 Kwa sh2500.bravo!bravo!
 
dah! Shukran mkuu maana,nilichoka na mb 250 kwa elfkumi,bt nw najiachia na mb400 Kwa sh2500.bravo!bravo!

kiukweli kote nimemuelewa ila hapo ktk kudownload tu ndo nimechemka....kwa maelezo yako inaonekana mwenzangu umemuelewa so help me plz
 
kaka naje thanks for that!

pia kuna njia ya kutumia line yoyote bila kuwa na dashboard tofauti

pia kwa watumiaji wa windows seven kwa vista sina uwakika sija wai fanya.unaweza chukuwa moderm ya zte uka install kama kawaida software ya voda .na unapochomeka moderm yako na line nyingine kwa ajili ya kutumia software ya voda ita tokea na ita kuambia SIM NOT RECOGNIZED.chakufanya we minimize hiyo software,afu nenda kwenye TASK BAR kwenye kidubuasha cha kuonesha kama internet au network imeunga ina kialama cha computer au bar kama network ya simu iko karibu na kiji symbol ya berti bonyeza utaona jina la line ulio weka kwenye moderm yako kama ni tigo ,zantel au airtel ibonyeze nayo utaona neno connect ,afu connectutakuwa umejiunga na huduma ya internet cha kufanya usi funge hiyo software ya voda ukifunga net inakata nayo
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom