Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Kwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Nimeamini, Shetani akizeheka huwa Malaika...