Silly
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 569
- 180
Wazo lako zuri ikiwa na maana ya kuwafikia wengi pamoja na watu wa Nyamuswa na Nyamwaga pia kwa sababu pale internet hata ya simu ni issue. Ila kwa mtazamo wangu, yapo magazeti ambayo yana mawazo sawa tu na wengi humu JF, sio kusema kwamba kuongeza gazei jingine la mtazamo sawa tunakosea, ila nadhani kama tukiweza kuitangaza ikiwa hapa kwenye net, it will serve the same purpose. Pia kuwekeza kwenye gazeti yapo mengi ya kutegemea faida e.t.c kwa sababu tayari ni investment kitu ambacho kinaweza kuleta finger - pointing.
Otherwise a good idea na I support.
Otherwise a good idea na I support.