Funding sources kwa ajili ya kusoma masters degree

Pishoni

Member
Jan 31, 2013
33
24
Habarini! Nna mpango wa kufanya masters degree mwakani. Napenda mnipe mawazo kuwa ni kwa namna gani naweza kupata pesa kwa ajili ya kusoma. Kimsingi mimi ni mtoto wa mkulima maana hata shahada yangu nilisoma kwa kulipiwa na bodi ya mkopo ya nchi yangu nzuri ya Tanzania.
Nnachomaanisha hapa ni kuwa, kama kuna mahala ama wanakopesha kwa ajili ya kusoma au ufadhili basi naomba nijue. Mawazo yenu jamani..
 
mh inamaana hiyo degree ya kwanza haikukusaidia jinsi gani ya kujiajili? kiukweli ufadhili wa masters ni mgumu sana ila unaweza kujipanda tu mwenyewe na kupata ada na kuachana na kutafuta ufadhili, mfano unaweza kulima shamba au kufuga kuku wa kienyeji na ukapata pesa ya ada.
 
Jaribu kuangalia 'Piga Kitabu na LAPF' kama unakidhi vigezo vyao utapata mkopo! Kwani unataka kusoma nchini au nje ya nchi? Kuna scholarship, government sponsorship, grants, fellowships nk. Cheki kwenye mtandao, shinda na computer tangu asubuhi hadi jioni utapata.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom