B Baba advent Member Nov 23, 2011 72 16 Mar 29, 2012 #1 Jamani wenye ujuzi wa kuripea vinanda,kinanda chetu kiliungua 2007 hadi leo hakijapona licha ya mafundi kupitia na kuchemsha.(yamaha psr 2100)
Jamani wenye ujuzi wa kuripea vinanda,kinanda chetu kiliungua 2007 hadi leo hakijapona licha ya mafundi kupitia na kuchemsha.(yamaha psr 2100)
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Mar 29, 2012 #2 Upo wapi? mafundi wanasema kimekufa nini? usikute ni Circuit Board imekuwa mkaa....
Ginner JF-Expert Member May 8, 2011 1,459 1,832 Mar 30, 2012 #3 Ebu mjaribu huyu mheshimiwa....yupo mbezi beach kama we nimakazi wa dar..pale karibu na bar maarufu ya nguruko....0754968207
Ebu mjaribu huyu mheshimiwa....yupo mbezi beach kama we nimakazi wa dar..pale karibu na bar maarufu ya nguruko....0754968207
MBUTAIYO JF-Expert Member Nov 15, 2010 681 391 Apr 2, 2012 #4 Nenda pale KVD mtaa wa makunganya, kuna fundi mzuri wa keyboard, kwaya nyingi zinanunua na kutengenezea keyboards zao pale.
Nenda pale KVD mtaa wa makunganya, kuna fundi mzuri wa keyboard, kwaya nyingi zinanunua na kutengenezea keyboards zao pale.