Kuna ndugu yangu ana haka kagari kanamsumbua kwenye bearing ya tairi la mbele kulia, kila akiweka mpya akitoka tu garage inaanza kupiga kelele na inakuwa imekufa, pia amejaribu kubadilisha hub yote lakini tatizo lipo palepale.
naomba ushauri wenu afanyeje????
naomba ushauri wenu afanyeje????