pole, sisi mafundi nguo ndiyo kazi zetu, tunakula kwa macho na mikono!.......Ila mafundi ndio zao,akiwa anapima kifuani utakuta badala ya kushikilia tape measure yake vizuri baadhi yao utakuta anagusa hadi titi.
Upande wa hips napo badala ya kupima hips, ataelekea hadi maeneo ya ta.ko ilimradi tu akuguse.
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????
Bisheni nanyi mtafunguliwa!
I didnt get that in bold fafanua <Mama Mdogo....Kweli nimeamini hapa JF kuna watu wabunifu, hii hadithi imekumbusha yale niliyoelezwa na Katekista wangu wakati nachukua mafunzo ya komunio. Alisema"Wanangu, mnapotafakari Biblia, msichukue msitari mmoja mmoja na kuliangalia kidunia, bali Neno la Mungu mlitafakari kwa ujumla wake kwa kuenzi Utukufu wa Mungu". Huyu fundi cherehani anafaa tena arejee Mathew 18:8 "If your hand or your foot causes you to sin, cut it off and throw it away. It is better for you to enter life maimed or crippled than to have two hands or two feet and be thrown into eternal fire".
ole wao wanaotumia maandiko kwa kupotosha au kwa manufaa yao,mtachomwa moto bila kutoka majivu,maandilko si ya kutongozea
........hafu na nyie dada zangu mkifika hapo kwa fundi mkware utasikia '' fundi yule mzuri,anajua kweli kushona kila mitindo anaijua''........Ila mafundi ndio zao,akiwa anapima kifuani utakuta badala ya kushikilia tape measure yake vizuri baadhi yao utakuta anagusa hadi titi.
Upande wa hips napo badala ya kupima hips, ataelekea hadi maeneo ya ta.ko ilimradi tu akuguse.
.......Ila mafundi ndio zao,akiwa anapima kifuani utakuta badala ya kushikilia tape measure yake vizuri baadhi yao utakuta anagusa hadi titi.
Upande wa hips napo badala ya kupima hips, ataelekea hadi maeneo ya ta.ko ilimradi tu akuguse.
utawasikia hapo hapo, eeeeh hapana hapo chini inabana! pandisha juu kidogo! mara ooh 'hapa' aaah fundi na wewe mbona hivyo, shusha chini kidogo! basi mambo ndiyo kama hivyo!........hafu na nyie dada zangu mkifika hapo kwa fundi mkware utasikia '' fundi yule mzuri,anajua kweli kushona kila mitindo anaijua''.
kushikwa shikwa unapenda lakini na wako mtu umpendaye.Siku nyingine mpe kipimo... for instance nguo yake inayokukaa vizuri mpeyo achukue kipimo....
Mie mambo ya kushikwa shikwa yani siyapendi....
I didnt get that in bold fafanua <Mama Mdogo....
your message has been delivered!Imeandikwa katika Agano Jipya Mathayo 18 msitari wa 8 kuwa: "Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Afadhali kwako kuingia kwako katika uhai (mbinguni) bila mkono au mguu kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili."
Ni tumaini langu nimeeleweka, mwenye mwenye macho na aone, na mwenye masikio na asikie!!!