Uko njema rafiki!Kazi nyingine jamani?
Waafrica wanatumia nguvu nyingi kuliko akili!Mi nafikiri lazima kuna njia nyingine mbadala lakini ndio hivyo tena.
Shortcut!Mi nafikiri lazima kuna njia nyingine mbadala lakini ndio hivyo tena.
Sasa mtu kama huyu ndo amnase mkeo
utajuta kuzaliwa
mtu hana kinyaa hata kidogo.....