Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
huyo jiran kapitishiwa bomba nyuma? So ndo linamwaga?
No hajapitishiwa,ni bomba lake na huku nyuma ndio linamwaga maji!
huyo jiran kapitishiwa bomba nyuma? So ndo linamwaga?
Jamani msichezee bomba litawamwagia
ukishindwa kujisaidia haja kubwa...unapigwa bomba...
na pia ajue diameter ya pipe itakayotumika...
ilo la maji taka bila shaka.
aaaah...ilo mafundi wake wachache...wengi wanaogopa uchafu..
aaaah...ilo mafundi wake wachache...wengi wanaogopa uchafu..
khe! We mkali, nasikia kuna chuo cha mafundi bomba uko lamu na pwani ya lindimafundi wake wengi wapo manispaa.....wakorofi hao......usiombe kuwakuta....
sentesi hii yaweza kua na maana zaidi moja...
zitaje.