haya wanajamii tuchangamshe bongo zetu...
kuna watu watatu walikua wanavuka mto...lakini mmoja kati yao alivuka kwa kuyakanyaga maji,wapili aliyaona maji lakini aliyavuka bila kuyakanyaga na watatu hakuyaona maji yale wala hakuyakanyaga.......watu hao walikua nani??????
kuna watu watatu walikua wanavuka mto...lakini mmoja kati yao alivuka kwa kuyakanyaga maji,wapili aliyaona maji lakini aliyavuka bila kuyakanyaga na watatu hakuyaona maji yale wala hakuyakanyaga.......watu hao walikua nani??????