Fumbo, hesabu ya matumizi

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,745
48,385
Nilikua na shillingi 50Kshs na nikazitumia kama ifuatavyo

Matumizi -- Salio
20 ------ 30
15 ------ 15
9 ------ 6
6 ------ 0
------------------
50 ------- 51

Sasa sielewi hiyo shilingi moja ilikotoka.
 
Sasa hela ni zako na wewe ndo umetumia, sisi tutaelewaje ulikoitoa hiyo nyingine?
 
Hesabu inaanza na 0 Hivyo basi ili Ku BALANCE inakubidi utoe 1........
Kwa Mfano kama umezaliwa mwaka 2006 mwaka 2016 utafikisha miaka 10 na sio 11.
 
Back
Top Bottom