Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Kumnenepesha mbuzi alingane na ng'ombe!
Kusahau kwamba walipakodi wakuwa Tanzania ni wachuuzi wadogowadogo ambao hawategemei umeme,
laiti kama wafanyibiashara wakubwa na viwanda vingelikuwa vinahtaji umeme na wangelikuwa wao ndo walipa kodi wakubwa basi hii leo msingelikuwa katika balaa la mgao wa umeme!!
Lakini kwa vile wao umeme hauathiri kodi za TRA basi na tutarajie wachuuzi na wajasiriamali wakiendelea kuathirika na kodi zinaokaribia kuwatoa roho...
Huku wenye viwanda wakineemeka kwa misamaha ya kodi na kuleta sokoni bidhaa duni na zisizokidhi viwango...
Hakuna anaegomea kulipa kodi kwa sababu hapati huduma stahiki...
Hakuna anaegoma kuilipa Tanesco kwa kutopata umeme anaouhitaji...
Hakuna anaegoma tumia maji machafu na yasiopatkana kwa muda wote toka mamlaka za maji 'taka' na safi!!
Hakuna anaesema kwanini bili imepanda na umeme hana!! (majibu rahisi "umeme unatumika sana kwa muda mfupi ili kufidia...!!!")
Ufumbuzi (kwa maoni yangu)
Kama hoja ni umeme tutumie umeme upepo (VETA WAPO WATUSAIDIE) ili tuepuke kuwalipa mafisadi pesa wasizostahili kwani sasa watatubalidilishia majina kila uchao.. sijui ikitoka hiyo Symbion power litakuja jina gani!!!
Tuchimbe visima vyetu... kwani hayo maji ya mamlaka na maji ya visima tunavyochimba bora hata haya yetu kwani tunaujua uchafu wetu!
Tuvune maji ya mvua.. alau ya kutosha miezi sita.
Kwa hayo machache tutajinasua na kuepukana na mafisadi...
Ahsanteni
Hakuna wa kulalamika...
Hakuna wa kudai...
Tunasubiri mpaka wakati wa uchaguzi ndipo tuanze kelele za kutafuta umaarufu...
Kusahau kwamba walipakodi wakuwa Tanzania ni wachuuzi wadogowadogo ambao hawategemei umeme,
laiti kama wafanyibiashara wakubwa na viwanda vingelikuwa vinahtaji umeme na wangelikuwa wao ndo walipa kodi wakubwa basi hii leo msingelikuwa katika balaa la mgao wa umeme!!
Lakini kwa vile wao umeme hauathiri kodi za TRA basi na tutarajie wachuuzi na wajasiriamali wakiendelea kuathirika na kodi zinaokaribia kuwatoa roho...
Huku wenye viwanda wakineemeka kwa misamaha ya kodi na kuleta sokoni bidhaa duni na zisizokidhi viwango...
Hakuna anaegomea kulipa kodi kwa sababu hapati huduma stahiki...
Hakuna anaegoma kuilipa Tanesco kwa kutopata umeme anaouhitaji...
Hakuna anaegoma tumia maji machafu na yasiopatkana kwa muda wote toka mamlaka za maji 'taka' na safi!!
Hakuna anaesema kwanini bili imepanda na umeme hana!! (majibu rahisi "umeme unatumika sana kwa muda mfupi ili kufidia...!!!")
Ufumbuzi (kwa maoni yangu)
Kama hoja ni umeme tutumie umeme upepo (VETA WAPO WATUSAIDIE) ili tuepuke kuwalipa mafisadi pesa wasizostahili kwani sasa watatubalidilishia majina kila uchao.. sijui ikitoka hiyo Symbion power litakuja jina gani!!!
Tuchimbe visima vyetu... kwani hayo maji ya mamlaka na maji ya visima tunavyochimba bora hata haya yetu kwani tunaujua uchafu wetu!
Tuvune maji ya mvua.. alau ya kutosha miezi sita.
Kwa hayo machache tutajinasua na kuepukana na mafisadi...
Ahsanteni
Hakuna wa kulalamika...
Hakuna wa kudai...
Tunasubiri mpaka wakati wa uchaguzi ndipo tuanze kelele za kutafuta umaarufu...