Ukimfumania mpenz, mke, mume wako live bila chenga na mtu mwingine utachukua jukumu gani ambalo angalau ukifanya hilo nafsi inatulia kidogo! I like to hear from you best friends kwa wale walio wahi kutokewa watusaidie wengine kabla janga halijatokea
Ufo saro movienampofua macho alafu najipiga risasi.
Kiukweli namuanithi
Tembea na mume / Mke wa mtu at your own risk....
Twin hayo kupitia lazima lisipopita sahzi mbeleni linakusubiri[/B]Siku likikufika hakuna ushauri utakaokumbuka,utafanya kile ambacho akili yako itakutuma muda huo!!
Omba tu lisikukute,siyo experience nzuri.
Mara nyingi hamna busara likitokea hilo