Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamaa akiwa ndani ya Taxi alimwona mkewe akiingia ndani ya hoteli na mwanaume flani.Akamwuliza dereva wa Taxi, "unataka nikupe elfu moja?"Dereva akakubali.Jamaa akamwambia, "nenda uko ndani,mke wangu kaingia huko na mwanaume mwingine.nataka umlete hapa kwangu."Kisha akampa picha yake,Dereva akaenda.Dakika chàche,akatoka akiwa anampiga mwanamke flani na kumvuta nywele.Jamaa kuangalia mwanamke,akamwambia Dereva, "huyu si mke wangu!"Dereva akajibu, "huyu ni mke wangu.Kaa naye niende nikuletee wako!!!!!"