Fumanizi!!!

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,702
Huyu sijui alikamatwa akimega mke wa mtu au alikutwa akiwanga...!!

fumanizi.jpg
 
Looh amaaah kuna watu wambea!!Cheki hako kajamaa kafupi kenye shati nyeupe kalivo mbelembele ka kamera sjui simu hiyo,kanafurah mwanaume mwenzie kuaibika!
Na pia huyo mama nae yuko bize anachukua picha kwa kutumia simu..
 
Nakumbuka kuiona mwaka jana picha hii jamaa alikuwa anasafiri kwa ungo kufika eneo hilo sikumbuki kama ni sumbawanga akanasa huko angani na kudondoka hapo mpka alipokutwa na idhara kama hiyo.
 
Back
Top Bottom