Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,850
- 2,732
Heshma mbele ndugu zangu wa Tz na wana jf kwa ujumla. Polen kwa msiba. Mungu azilaze roho za marehem mahal pema pepon.
Kwanza naomben ukarbsho wa dhati katka MMU. Nimekuwa nkivnjar kwingne kabla ya hapa.
Naelewa kwamba hakuna m2 anaependa kushare ile kitu ndio maana hata wengne unapowaulza wanadiriki kusema wataua, yote hyo ni kuonesha namna gan inawakera.
Ila ningependa kujua yupi atakukera/kuudh zaidi na kwann, endapo utamkuta akingonoka na mpenz wako. Je? Ni ndugu wako wa kuzaliwa (mdogo au mkubwa) au ni mtu mwingine yeyote?
Kwanza naomben ukarbsho wa dhati katka MMU. Nimekuwa nkivnjar kwingne kabla ya hapa.
Naelewa kwamba hakuna m2 anaependa kushare ile kitu ndio maana hata wengne unapowaulza wanadiriki kusema wataua, yote hyo ni kuonesha namna gan inawakera.
Ila ningependa kujua yupi atakukera/kuudh zaidi na kwann, endapo utamkuta akingonoka na mpenz wako. Je? Ni ndugu wako wa kuzaliwa (mdogo au mkubwa) au ni mtu mwingine yeyote?