yataka moyoni moja ya ajali kazini
hivi ngoshwe...umejuaje ni fumanizi? unaelewa hiyo lugha wanayozungumza?
Unajua hata mimi kabla ya kuwaelewa wahindi kwa sababu ya mazoea ya kiswahili kutoa mahari ndio kuoa kwa hyo nilikuwa pia mwanamke ndio anaoa kwa wahindi lakini baada ya kukaa na wahindi ndio nikagundua jinsi wahindi walivyotupiga bao wanaume wengine wote maana wao bana mahari wanachukua kutoka kwa mke halafu wanaoa kama kama....Lijamaa , Lapewa Talaka Tatu!!!!!!!!!!!Hah..haha..aaa, Wajua tena Kwa Wahindi, mke ndio hutoa mahari!!!!!!!!!!!!
Unajua hata mimi kabla ya kuwaelewa wahindi kwa sababu ya mazoea ya kiswahili kutoa mahari ndio kuoa kwa hyo nilikuwa pia mwanamke ndio anaoa kwa wahindi lakini baada ya kukaa na wahindi ndio nikagundua jinsi wahindi walivyotupiga bao wanaume wengine wote maana wao bana mahari wanachukua kutoka kwa mke halafu wanaoa kama kama....
sioni kitu haki ya nani tena
Hapo maana yake wanaoa kwa maana uliyoizoea wewe. Yaani bado mume pamoja na kulipwa mahari anakuwa na mamlaka katika nyumba kama ambavyo anakuwa nayo mume wa kiswahili aliyelipa mahari. Nadhani umenipata hapo.........Dadavua hapa mpwa