TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,275
Maybe.... U ar entitled as wellPre judgement and misled
Maybe.... U ar entitled as wellPre judgement and misled
Dah kweli hayo maswali ulikijiuluza lazma ukose majibuMh. Rejea ulichokiuliza nimeshuka na kamba hii sijaona aliejaribu kugusa atlist 50% ya kinachosababisha, hilo litokee.
Ni hivi : Once inapotokea kadhia hiyo Mwanaume hesabu zake huenda kwenye :- 1. Nimemfumania je ? Huu mchezo kwanza kauanza lini, hii ndiyo mara yake ya kwanza ama laa.
2. Kama kauanza zamani hawa watoto wawili tulionao ni wangu? 3. Kama kaanza zamani je? Ananipigia ni huyuhuyu niliemfumania nae ama kuna zaidi na zaidi.
4. Kama mchezo kauanza leo na huko mbele akapata mimba itakua ni yangu?
5. Inamana kila mimba atakayopata tukapime DNA ? Ikiwapo na watoto tuliokwisha wazaa?
6. Kama patatokea amepata mimba isiyo yangu ndiyo kusema mali zangu zitakujarithiwa na isiyo damu yangu? Kwa kuzingatia yote hayo ndiyo mana hutokea vile ulivyosema.
Theory ya ukweli sana na mwanamke kutoka nje ni kumdhalilisha sana mwanaume...lolTatizo ni kuwa mwanamke anafanywa ila mwanaume anafanya (kiafrica zaidi)so mwanaume akichukuliwa mwanamke wake anaona kama amedhalilishwa kuwa hamfanyi vizuri ndio maana mwanamke katoka nje.Na mke akimfuma mwanaume wake akifanya mwingine ugomvi huwa sio mkubwa sana kwa kuwa mke anaona kama mmewe alikuwa Anamfanya(kumkomoa) huyo msichana mwizi.Source ni "Theory ya kufanya na kufanywa"Ila majuu haitumiki coz wengi(wake kwa waume) wanazitambua haki zao
Mh. Rejea ulichokiuliza nimeshuka na kamba hii sijaona aliejaribu kugusa atlist 50% ya kinachosababisha, hilo litokee.
Ni hivi : Once inapotokea kadhia hiyo Mwanaume hesabu zake huenda kwenye :- 1. Nimemfumania je ? Huu mchezo kwanza kauanza lini, hii ndiyo mara yake ya kwanza ama laa.
2. Kama kauanza zamani hawa watoto wawili tulionao ni wangu? 3. Kama kaanza zamani je? Ananipigia ni huyuhuyu niliemfumania nae ama kuna zaidi na zaidi.
4. Kama mchezo kauanza leo na huko mbele akapata mimba itakua ni yangu?
5. Inamana kila mimba atakayopata tukapime DNA ? Ikiwapo na watoto tuliokwisha wazaa?
6. Kama patatokea amepata mimba isiyo yangu ndiyo kusema mali zangu zitakujarithiwa na isiyo damu yangu? Kwa kuzingatia yote hayo ndiyo mana hutokea vile ulivyosema.