NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
heheheheeehh jumba loote hili nakwambia sitoookiii:clap2: nawewe ntakukomesha,,,
Kweli kabisa wamemdhalilisha dada wa watu, tena ni mke mwenzake.... huyo dada angewezaje kuja mwenyewe na kuingia ndani.... Na huyo mama kwa jinsi asivyo na akili eti hawezi kuacha mali zote sh...zi, kweli siku zote wanawake wataendelea kupuuzwa sababu hawajui nini mnahitaji kutoka kwa waume zao....:embarrassed:!!!