Jamani waliokuwa wanatafuta scholarship za masters na PhD sio muda wa kuchelewa ingia www.moe.go.tz na hapo utapata web nyingine ya namna ya application kwa commonwealth's hawa jamaa walichukua chetu wakuu changamka anglau watugawie kidogo.
Mbarikiwe zaidi nyote mtakaoapply uenda mkarikomboa taifa hili lilojaa ufisadi naamini ktk mafanikio mtafanikiwa maana kule hakuna longolongo kama una sifa zote hakuna uchawi wala ndumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.