WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
nakumbuka kwenye mwezi wa kwanza au wa pili kuna daktari alikuwa anahojiwa na clouds fm hospitali ya muhimbili walianzisha huduma ya kufanya check up kwa magonjwa yote kwa ghrama ahueni kwa cku za jumamosi. kuna mwenye info kama hiyo huduma inaendelea?