Buji!
zamani ubunge ilikuwa ni ufalme mpaka uzeekee huko hata ukiwa unafanya madudu,hii itawashtua kidogo wajue kumbe ukomo si miaka 5 tu bali hata kukiuka katiba na kwenda kinyume na policy kunaweza kukuweka pembeni
mawazo tofauti ni sawa lakini yatolewe vikaoni sio kwenye vijiwe mabibo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.