Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Imetangwazwa na tume ya uchaguzi zanzibar dakika chache zilizopita tbc
Ila hii Dunia nayo ina mambo sana. Sasa hao 33.6 waliosema hapa,, wanafikiria nini vichwani mwao? Kwamba hawataki suluhu? Kwa kweli ishi uone mambo