iiiiiiii makoye ga mbiti,,,,,, kili nang'o!!!!!!!!!Bayanda ing'we masala nduhu pyeeeeeeeeee! no nene namanile.
Hivi hizi sifa mnazomtupia Nyani anawalipa ama!?!
Afadhali nakua mkweli....kujipendekeza sio ishu!Hater!
Afadhali nakua mkweli....kujipendekeza sio ishu!
Na huo ukweli ndo upi?
Kwamba sioni unachosifiwa!!Labda kama unawalipa upate ujiko!
iiiiiiii makoye ga mbiti,,,,,, kili nang'o!!
We lizzy acha chokozi zako hizoHivi hizi sifa mnazomtupia Nyani anawalipa ama!?!
miafrika ndivyo tulivyo...... Mimi sibishiKama unanionea gere nuna ujikere!!
We lizzy acha chokozi zako hizo
Kaanza kumchokonoa NN kwenye maeneo yake ya kujidaiUmemuona Lizzy?
Mhhhhh bing'weeeeeeee..... Simo mchanga wa pwani huoooooooooAende zake huko akarambe moto.
Kaanza kumchokonoa NN kwenye maeneo yake ya kujidai
Lizzy mbona unaanza kuharibu thread yangu.
NYANI NGABU, mchango wake humu jamvini ni mshahara kwangu...
Keep it up NN