Ectoparasite
Member
- Nov 12, 2011
- 16
- 5
Njoo kigoma..tukupe mavitu ya kongo..ikujeee ikujeee...
simkosi mwanaume yeyote nimtakaye naishukuru figure yangu hainiangushi
mimi si mgeni wa DSM na wanajibu majibu ya ovyo sana mpaka wanakoma na mimi
Hahahaha! Naona unajipigia debe...lolWapi nyie???
Jua ndo linaenda hivo, na Hansard ndio inaingia kwenye rekodi!..
Huh!..Leo mmepatikana jamaa zangu!..
Ujanja mfukoni!
thanx for kugundua dia lakini baadhi r okay
Wape wape wapeeee!
simkosi mwanaume yeyote nimtakaye naishukuru figure yangu hainiangushi
mimi si mgeni wa DSM na wanajibu majibu ya ovyo sana mpaka wanakoma na mimi
Wape wape wapeeee!
Futa usemi wako mamaa..... huna uwezo huo... mimi hunipati hata nikukute unataka kufa...:lol::lol::lol::lol::lol:
Wewe MARIA umegeneralize mno.Kuna wanaume wa shoka hapa dar ambao wametoka bara na wamekuja kufanya kazi.Wanajua kazi si mchezo bila hata kutumia dawa.Najua umekutana mmoja mlegevu ukajua wote tuko hivyo?Daaah imeniuma sana.Ningekuwa na uwezo.....thanks alot