whitehorseV
Member
- Dec 15, 2014
- 31
- 4
mmmmh!!! Tutajirekebisha
Duuuh hakuna uhaba wa viroja humu siku hizi.
@nje ya dar, baba mngoni, mama mchagga.
..........finally i concluded kuwa staki mwanaume wa dar
1.wengi ni watoto wa mama
2.huko dar kila duka la dawa baridi (small pharmacy) lazima ukute wanauza dawa za kuongeza nguvu za kiume
na kukuza uume wakati wanapenda kuwatusi wanawake mchina,mchina,mchina
3.umemchukuwa kuwa mgeni wako usiku na bila aibu anakula chips, hata kuku robo hawezi kumaliza
4.wengi hawana self-made capital zaidi ya inherited enterprises
5.wanaume wa dar wanashangaa sana wanawake yaani unajiuliza utapitaje mbele yao wanavyokodoa
note:wanaume wa dar wapo kama wanaume wa zaire
Njoo huku vijiji tuenjoy mapeni nje nje na starehe kibao.... Uwe na elimu yako tu ya kutoka huduma kwa jamii.. hima hima njoo bidada langu.@nje ya dar, baba mngoni, mama mchagga.
..........finally i concluded kuwa STAKI mwanaume wa dar
1.Wengi ni watoto wa mama
2.Huko dar kila duka la dawa baridi (small pharmacy) lazima ukute wanauza dawa za kuongeza NGUVU ZA KIUME
na kukuza uume wakati wanapenda kuwatusi wanawake mchina,mchina,mchina
3.umemchukuwa kuwa mgeni wako usiku na bila aibu anakula chips, hata kuku robo hawezi kumaliza
4.Wengi hawana self-made capital zaidi ya inherited enterprises
5.Wanaume wa dar wanashangaa sana wanawake yaani unajiuliza utapitaje mbele yao wanavyokodoa
Note:Wanaume wa dar wapo kama wanaume wa ZAIRE
Kusikia husikii hata kuona pia. Na macho unayo!Kwani wao walisema wanakutaka?
@nje ya dar, baba mngoni, mama mchagga.
..........finally i concluded kuwa STAKI mwanaume wa dar
1.Wengi ni watoto wa mama
2.Huko dar kila duka la dawa baridi (small pharmacy) lazima ukute wanauza dawa za kuongeza NGUVU ZA KIUME
na kukuza uume wakati wanapenda kuwatusi wanawake mchina,mchina,mchina
3.umemchukuwa kuwa mgeni wako usiku na bila aibu anakula chips, hata kuku robo hawezi kumaliza
4.Wengi hawana self-made capital zaidi ya inherited enterprises
5.Wanaume wa dar wanashangaa sana wanawake yaani unajiuliza utapitaje mbele yao wanavyokodoa
Note:Wanaume wa dar wapo kama wanaume wa ZAIRE