friji ya kiafrika

Joeli

JF-Expert Member
Apr 25, 2011
4,941
3,402
DSC06604.JPG


ubunifu asilia, au vipi wanajamvi
 
Kuna moja niliiona jamaa wameweka bia kwenye gunia lililowekwa mchanga halafu wakalimwagia maji! Aisee bia zinapoa vizuri sana! wakuu na wala msibishe jaribuni hiyo fomular halafu mniambie.
 
Humo ndani ya mtungi kulitakiwa kuwe na Togwa bana na sio hayo masoda.
 
Sijaielewa mkuu inavyofanya kazi....

Meng'enyua mkuu.

mtungi hujulikana kwa uwezo wake wa kupoza maji na yakawa ya ubaridi wa wastani, sasa hawa jamaa wakaamua kutumia theory hiyo kwenye soda kwa kuziweka kwenye maji zinapoa
 
Mie nayapenda sana maji ya mtungini. Ni matamu kupita kiasi!!! Unachemsha maji yako unasubiri yapoe kisha kuyaweka mtungini. Naweza kunywa maji hata glass tano kwa wakati mmoja.
rafiki, mimi nikiendaga kijijini, hata kama sina kiu huwa naomba maji, harufu yake tu inanivutia kuyanywa................ hasa ukute maji yamechotwa kisimani halafu yakatiwa mtungini.................. na huwa hayachemshwi yale lakini hakuna cha typhoid wala nini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Maji ya kwenye hii kitu ni nooouma..
Unaweza ukanywa hata lita kwa mkupuo.
 
Ahsante sana FP kwa mchango wako, mie kusema kweli ni muoga sana kunywa maji ambayo hayajachemshwa. Hata nikienda nyumbani kwa mtu kama tumezoeana sana nikihitaji maji basi lazima niulize mnachemsha maji yenu ya kunywa? lakini kama hakuna mazoea ya karibu basi ni heri tu ninywe hata kinywaji baridi chochote kile lakini si maji. Nimewahi kuona watu waliopata kipindupindu jinsi walivyorudisha namba haraka sana basi nikasema kamwe mdomoni mwangu hayataingia maji ambayo hayajachemshwa. Hilo la maji ya mtungini kuwa na harufu nzuri sana ni kweli, ila nililisahau. :)


rafiki, mimi nikiendaga kijijini, hata kama sina kiu huwa naomba maji, harufu yake tu inanivutia kuyanywa................ hasa ukute maji yamechotwa kisimani halafu yakatiwa mtungini.................. na huwa hayachemshwi yale lakini hakuna cha typhoid wala nini
 
Ahsante sana FP kwa mchango wako, mie kusema kweli ni muoga sana kunywa maji ambayo hayajachemshwa. Hata nikienda nyumbani kwa mtu kama tumezoeana sana nikihitaji maji basi lazima niulize mnachemsha maji yenu ya kunywa? lakini kama hakuna mazoea ya karibu basi ni heri tu ninywe hata kinywaji baridi chochote kile lakini si maji. Nimewahi kuona watu waliopata kipindupindu jinsi walivyorudisha namba haraka sana basi nikasema kamwe mdomoni mwangu hayataingia maji ambayo hayajachemshwa. Hilo la maji ya mtungini kuwa na harufu nzuri sana ni kweli, ila nililisahau. :)
mimi huwa nayafanya hayo nikiwa mjini, sinywi maji kwa watu kama sina uhakika kama wanachemsha au la. kwa kijijini huwa naangalia mazingira. kabla sijaomba maji huwa naomba kwenda toilet hata kama sijabanwa. mara nyingi sana hali ya toilet huwa inakutambulisha hygiene ya mahali hapo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mie nayapenda sana maji ya mtungini. Ni matamu kupita kiasi!!! Unachemsha maji yako unasubiri yapoe kisha kuyaweka mtungini. Naweza kunywa maji hata glass tano kwa wakati mmoja.
BAK umenikumbusha mbali sana, maji yake huwa hayanuki clorine bana yanakauwa na harufu ya udongo wa mtungi lol halafu ni ya baridi ile mbaya. sasa hivi tunataka kuziadvance hizi tuziekee membrane filters zenye micropores 4mm yaani ili zitumike kuchuj maji kwa watu wa vijijini ishu imekuwa ngumu kwenye utunzaji yaani ikivunjika ndo basi tena. pia ikisha clog hiyo filter mtumiaji ataaboreka nayo so ataaidiscard despite gharama ambazo serikali imeinvest kwenye hiyo filter.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila kuiita ya kiafrika naona kama unawaua waafrika. Hiyo ni ya mtu masikini tu, hakuna uafrika hapo!
 
mimi huwa nayafanya hayo nikiwa mjini, sinywi maji kwa watu kama sina uhakika kama wanachemsha au la. kwa kijijini huwa naangalia mazingira. kabla sijaomba maji huwa naomba kwenda toilet hata kama sijabanwa. mara nyingi sana hali ya toilet huwa inakutambulisha hygiene ya mahali hapo

lol! FP vyoo vingine hasa hivi vya kizungu unaweza kujutaaa kwa nini uliamua kuomba kwenda chooni hasa kunapokuwa na shida ya maji. Na kama uijuavyo nchi yetu shida ya maji ni ya miaka nenda miaka rudi na hakuna hata dalili za ahueni.
 
mimi huwa nayafanya hayo nikiwa mjini, sinywi maji kwa watu kama sina uhakika kama wanachemsha au la. kwa kijijini huwa naangalia mazingira. kabla sijaomba maji huwa naomba kwenda toilet hata kama sijabanwa. mara nyingi sana hali ya toilet huwa inakutambulisha hygiene ya mahali hapo
@fixeed point aisee hii theory yako siyo kabisa. unless kama umefanya tafiti nyingi katika vijiji vya huko tanganyika. mara nyingi sana kuna watu hasa baadhi ya waislam kwao maliwato ni priority sana ila kwingine siyo. kuna siku tulikwena singida vijijini yaani unamkuta mtu uwanja msafi na choo kizuri kweli ila mtu huyu maji anayokunywa ni machafu sana anachemsha kisha kikombe cha kunywea ndicho kinacho chota majia ndani ya water can. sasa unakuta mwingine katoka toilet anashika kata tena yenye mkono mfupi so lazima mkono utadumbukia, ananywea kikombe hicho hicho. na kaukairudisha hapo.

kuna mwingine aliposikia kuna watafiti kwenye kata aliweka water guard so tulipopima free chlorine tukaikuta tukajua huyu anajali sana kumbe yale maji ndio anayofulia nguo kia water guard ina hypochlorite ambayo ni bleaching agent ya kunywa ni machafu kabisa yaani ukiyaangalia ni meupe ila kiafya ni full of coliforms tulipoyapanda total coliform walikuwa juu sana. so sikushauri kabisa kwa hili.
 
Back
Top Bottom