elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
habari za asubuhi waugwana, siku za nyuma nliwahi kuandika kuhusu msichana flani ninaye mpenda lakini anadai ana mtu na akadai kama nataka tunaweza fanya mapenzi then tupotezeane kabisa.
Sasa mimi nilikataa mwanzo lakini kutokana na ushauri wa watu mbalimbali na pia huyo mtu anaye dai yuko naye sijawahi kumwona wala hata kusikia wametoka wote. Mwisho wa siku nilikubariana naye.
Yani hivi sasa niko naye japo yeye usema mimi naye ni marafiki lakini mambo tunayo fanya ni zaidid ya rafiki.
Hanizuii kufanya lolote juu ya mwili wake.
Ninapo mhtaji yuko tayari kuja muda wowote mpaka watu wengi wanadhan yeye ni mpenzi wangu lakini yeye anadai mimi ni rafiki yake tu.
Kuna kipindi uwa naona huyu msichana may be ndo keshakubari kuwa na mimi lakini itatokea siku atamtaja huyo anayedai ni mtu wake sasa nashindwa elewa nifanyeje.
Niko naye hivi mwezi wa 8 sasa.
Yani nina maswali mengi yasiyo na majibu na mimi ndiyo nshampenda sana tena sana.
Sasa mimi nilikataa mwanzo lakini kutokana na ushauri wa watu mbalimbali na pia huyo mtu anaye dai yuko naye sijawahi kumwona wala hata kusikia wametoka wote. Mwisho wa siku nilikubariana naye.
Yani hivi sasa niko naye japo yeye usema mimi naye ni marafiki lakini mambo tunayo fanya ni zaidid ya rafiki.
Hanizuii kufanya lolote juu ya mwili wake.
Ninapo mhtaji yuko tayari kuja muda wowote mpaka watu wengi wanadhan yeye ni mpenzi wangu lakini yeye anadai mimi ni rafiki yake tu.
Kuna kipindi uwa naona huyu msichana may be ndo keshakubari kuwa na mimi lakini itatokea siku atamtaja huyo anayedai ni mtu wake sasa nashindwa elewa nifanyeje.
Niko naye hivi mwezi wa 8 sasa.
Yani nina maswali mengi yasiyo na majibu na mimi ndiyo nshampenda sana tena sana.