'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)

Sidhani kama ni vyema kusema kabisa mnakutana wapi,....wange thibitisha wanao taka kushiriki
then kama wapo dar mkawa notify at lest 4hours kabla.
It's not safe kujulikana JF members wanakutana wapi na lini.

Mkuu, kwa uzoefu wako wewe, unaweza ukampa mtu notice ya masaa 4 kufika mkutanoni na akafanikiwa kufika kiurahisi? Na wangapi utawapata kwa masaa hayo manne?
 
Adding an account kwenye skype yangu inaleta white screen which stays there for ever
na siwezi kuadd.Google doesn't help solving the problem.
Nita confirm kesho kama nitashiriki hiyo 27.1 physically.

Karibu Chammy, ukiwa tayari nijulishe. Fanya ile kitu roho yako inataka.

Wakati wa kuchangia Wahanga wa Mafuriko ya Kilosa ambayo iliendeshwa kwa ushirikiano wa TPN, JF, Michuzi na Mwanakijiji online Communities, Wana JF wengi walijitokeza na wengi tulikutana nao wala hakukuwa na shida.

Katika ibada ya kumuaga Regia wengi walikuwepo na kukutana lakini hakukuwa na shida.
 
unaogopa nini?
Hii si mara ya kwanza wana JF kusema wanakutana wapi na lini ? Na hakuna
Kilichotokea.

AD unajua mpaka leo kuna watu wanaamini kuwa kuwa member wa JF wewe ni mhaini na ni wanted!

Watu wanaandika mambo mazito magazetini na mengine tunasikia hata bungeni, lakini sijaona kama wamepatwa na matatizo yanayodhaniwa hapa.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
mi naogopa. Tangazo la mkutano limekuwa wazi sana mna kipimo gani kwa mtu akija pale kuwa ni mzuri au mbaya watu wameandika vitu vikubwa sana humu vingine hakuna hata gazeti ambalo litachapisha hafu mnaitisha mkutano kirahisi hivyo au nyi ndo wafanikishaji wa kutupoteza? Kama ishu ni michango toeni namba za mpesa au tigopesa watu watatuma michango hatuwezi kujisacrifice kihivyo
 
Rejao hajachangia Kitu humu na nilimuona online oi sijui kahofia nini! ningependa ili wahudhuriaji wawe wengi ndani watu wasiingie na Camera wala simu za Camera mwendo uwe Simu za Vitochi tu Unaweza ukakutana na Makamanda mwishoni ukasikia tu User flan wa id ile hajaonekana tokea siku ile...

Au pengine tuje na id zingine clean! ya skype imekaa fresh lakini unakuwa huru flan

Sipo Nchini mkuu, nifikiria option ya Skype but najaribu kwanza kufanya analyisis! JF ni yetu sote na Regia alikuwa mwenzetu...kama kutakuwa na mchango wowote mimi nitakuwa tayari kutoa.
Asante
 
Mavitu mengine mnayatajaga tu humu jamvini bila kutoa ufafanuzi sasa kushiriki kwa Skype ndio nini mtufafanulie na sisi tujue wakuu.

Ufafanuzi: Unaweza kutumia Skype Video or Voice Conferencing kwa kuadd ID ya jamiiforums kwenye Skype yako. Siku hiyo tutakuwa LIVE kwa kutumia Laptop na Projector, so unaweza kushiriki na kutoa mchango wako.

Kama zaidi ya hapo hujaelewa Mkuu, naomba utafute mtumiaje yeyote wa Skype atakufafanulia.
 
mi naogopa. Tangazo la mkutano limekuwa wazi sana mna kipimo gani kwa mtu akija pale kuwa ni mzuri au mbaya watu wameandika vitu vikubwa sana humu vingine hakuna hata gazeti ambalo litachapisha hafu mnaitisha mkutano kirahisi hivyo au nyi ndo wafanikishaji wa kutupoteza? Kama ishu ni michango toeni namba za mpesa au tigopesa watu watatuma michango hatuwezi kujisacrifice kihivyo

Kuwa na amani, fanya ile kitu raho yako inataka. Kuogopa ni kawaida kwa baadhi kutokana na jinsi anavyolitazama jambo husika.
 
Baadhi ya Wana JF waliokutana katika Ibada ya Kumwombea Marehemu Mh. Regia Mtema Kanisa katoliki Segerea. Wana JF hawa wanapendekeza kuwa ipangwe siku maalumu hivi karibuni ambayo wana JF na Wadau mbalimbali watakutana British Council na kujadili yale yote aliyosimamia Regia na nini cha kuiga toka kwake na kufanya ikiwa ni njia mojawapo ya JF kumuenzi marehemu Mh. Regia Mtema.

Tunapendekeza kuwa tukutane British Council siku ya Ijumaa Tarehe 27-01-2012 kuanzia saa 11jioni hadi saa 2 Usiku. Vinywaji na light foods vitakuwepo. Pia tutafanya maarifa kuwepo na Skype Conferencing ili waliopo nje ya Nchi watakaopenda kushiriki wafanye hivyo. Kwa kila anayeweza kuchangia kufanikisha Mkutano huu anaombwa awasiliane na Maxence.

Kushiriki kwa Skype: Add the following ID: jamiiforums

Updates:

Waliothibitisha kushiriki ni:

1. Sanctus Mtsimbe
2. Maxence Melo
3. Josephine Mshumbusi
4. The Finest
5. Nyani Ngabu - skype
6. AfroDenzi - Skype
7. Mrembo by Nature - Skype
8. Jason Bourne
9. Pretty - Skype
10. Lizzy
11. Duduwasha - Skype
12. StraaKasyembe - Skype
Kuchangia conference kunaambatana na kutoa lambilambi au kuna utaratibu upi tuweze kuwasilisha lambi lambi zetu sisi tuliochelewa?????????
 
Baadhi ya Wana JF waliokutana katika Ibada ya Kumwombea Marehemu Mh. Regia Mtema Kanisa katoliki Segerea. Wana JF hawa wanapendekeza kuwa ipangwe siku maalumu hivi karibuni ambayo wana JF na Wadau mbalimbali watakutana British Council na kujadili yale yote aliyosimamia Regia na nini cha kuiga toka kwake na kufanya ikiwa ni njia mojawapo ya JF kumuenzi marehemu Mh. Regia Mtema.

Tunapendekeza kuwa tukutane British Council siku ya Ijumaa Tarehe 27-01-2012 kuanzia saa 11jioni hadi saa 2 Usiku. Vinywaji na light foods vitakuwepo. Pia tutafanya maarifa kuwepo na Skype Conferencing ili waliopo nje ya Nchi watakaopenda kushiriki wafanye hivyo. Kwa kila anayeweza kuchangia kufanikisha Mkutano huu anaombwa awasiliane na Maxence.

Kushiriki kwa Skype: Add the following ID: jamiiforums

Updates:

Waliothibitisha kushiriki ni:

1. Sanctus Mtsimbe
2. Maxence Melo
3. Josephine Mshumbusi
4. The Finest
5. Nyani Ngabu - skype
6. AfroDenzi - Skype
7. Mrembo by Nature - Skype
8. Jason Bourne
9. Pretty - Skype
10. Lizzy
11. Duduwasha - Skype
12. StraaKasyembe - Skype
PJ, Mzee wa Rula,Derimto,Preta, Mungi, Filipo,Liverpool,Sahara Voice, Crashwise, Loner, Blacklady,Matwi na wengine woote wadau wa Arusha vipi tukifanya kautaratibu kwa ajili ya concern yetu kwenye hili jambo!!!!! Au tusubiri tuone the way forward toka kwa ndugu zetu wa Dar baada ya mkutano wao??????????

 
mi naogopa. Tangazo la mkutano limekuwa wazi sana mna kipimo gani kwa mtu akija pale kuwa ni mzuri au mbaya watu wameandika vitu vikubwa sana humu vingine hakuna hata gazeti ambalo litachapisha hafu mnaitisha mkutano kirahisi hivyo au nyi ndo wafanikishaji wa kutupoteza? Kama ishu ni michango toeni namba za mpesa au tigopesa watu watatuma michango hatuwezi kujisacrifice kihivyo


Mkuu, woga ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya wanadamu. Wanatofautiana tu kwa namna wanavyoliona jambo.

Fanya ile kitu roho yako inapenda.

Namba za michango, ni zile zile zinazotumika kwa Michango mingine. Maxence anahusika.
 
mi naogopa. Tangazo la mkutano limekuwa wazi sana mna kipimo gani kwa mtu akija pale kuwa ni mzuri au mbaya watu wameandika vitu vikubwa sana humu vingine hakuna hata gazeti ambalo litachapisha hafu mnaitisha mkutano kirahisi hivyo au nyi ndo wafanikishaji wa kutupoteza? Kama ishu ni michango toeni namba za mpesa au tigopesa watu watatuma michango hatuwezi kujisacrifice kihivyo

Mkuu nakuunga mkono. Watu wameandika vitu vingi wengine hadi wamekuwa na mabifu humu. Wakikutana na bahati mbaya wakatambuana...!! Nadhani WanaJF kubaki undercover ni vyema.
 
mi naogopa. Tangazo la mkutano limekuwa wazi sana mna kipimo gani kwa mtu akija pale kuwa ni mzuri au mbaya watu wameandika vitu vikubwa sana humu vingine hakuna hata gazeti ambalo litachapisha hafu mnaitisha mkutano kirahisi hivyo au nyi ndo wafanikishaji wa kutupoteza? Kama ishu ni michango toeni namba za mpesa au tigopesa watu watatuma michango hatuwezi kujisacrifice kihivyo
Pole saana ndugu yangu usemalo ni kweli, kwenye quarters fulani tulizoea kamsemo kunguru mwoga uepusha bawa lake!!!!!!!!! Lakini unaweza kufika usitoe the right ID provided upo na unachangia mawazo sijui kama kuna restrictions kwa hapo?????

 
Back
Top Bottom